• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Takukuru kuchunguza Miradi ya Maendeleo Ileje

Imewekwa: August 20th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe.Omary Mgumbaamemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa huo kuhakikisha TAKUKURU inafanya uchunguzikwa Miradi yote ya Maendeleo ya Wilaya ya Ileje ili kubaini ubadhirifu wafedha.

Mgumba alitoa maagizo hayo wakati wa ukaguzi wa Miradi ya Maendeleouliofanywa na Kamati ya Siasa ya Mkoa ikiongozwa na Komredi Elyniko Mkolakatika miradi ya elimu na afya.

“Itaundwa kamati maalum ya kufanya uchunguzi wa Miradi ya Maendeleo Wilayaya Ileje kuchunguza kwa miaka mitatu ili kubaini ubadhirifu huo”.AlisemaMhe.Mgumba.

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa miradi na kwenye kikao cha majumuishokatika Ukumbi wa VIM Mwenyekiti wa CCM Komredi Mkola alisema kuwa viongozi waChama cha Mapinduzi wanatakiwa kuwa macho ya chama na serikali katikakuhakikisha kuwa pesa za miradi ya maendeleo zinatumika vema.

“Miradi ya Maendeleo ndiyo utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na huwa nimkataba kati ya serikali na wananchi ambao ni wapiga kura”.AlisisitizaMwenyekiti huyo.

Baadhi ya miradi iliyomkera kiongozi huyo na kushindwa kuficha hisia zakeni ujenzi wa Zahanati ya Chembe zilikopelekwa milioni 50 huku jengo likiwalilishajengwa na wananchi kwa nguvu zao kwa muda mrefu.

Maeneo mengine ni ujenzi wa vyoo Shule Msingi Mpakani na katika Sekondariya Ikinga pamoja na ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari Kafule ambakotaarifa za viongozi wa maeneo hayo zilikuwa zikitofautiana.

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Wilayanihumo ilikataa baadhi ya Miradi ya Maendeleo hali iliyopelekea Mkuu wa Wilayahiyo Mhe.Anna Gidarya kuwasimamisha kazi baadhi ya watumishi waliohusika katikaujenzi huo ili kupisha uchunguzi.

Hata hivyo Kamati hiyo iliweza kupongeza hatua za ujenzi na ubora wamajengo katika wodi tatu kwenye Hospitali ya Wilaya ambako serikaliilishapeleka milioni 500.s

 

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa