• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Taifa linaangamia kwa UKIMWI kwasababu ya unafiki,RC Chalamila

Imewekwa: May 9th, 2019

Taifa linaangamia kwa UKIMWI kwasababu ya unafiki-RC Chalamila.

Mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI likiwa ni moja ya malengo ya kitaifa,Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Albert Chalamila ameitaka jamii kuacha unafiki ili kufikia malengo hao.

Akizindua Mpango wa Ongea Radio Programu kwa mikoa ya Nyanda za juu Kusini katika ukumbi wa Tughimbe Jijini Mbeya RC huyo alisema kuwa UKIMWI umekuwa huutokomei kwakuwa wadau mbalimbali wa vita hivi wanashindwa kukiishi kile wanachokisema majukwaani.

Alisema kuwa,unafiki kwa wadau mbalimbali ndilo tatizo linalokwamisha tusishinde kwa wakati mapambano hayo kwakuwa sehemu kubwa ya jamii inaendekeza ngono ambayo njia kuu inayoeneza VVU na Ukimwi.

Alisema kuwa ili kuokoa kizazi kijacho jamii haina budi kutumia nguvu katika kuokoa vijana ambao ni wahanga wakuu wa janga hili ambalo limeshapoteza nguvu kazi kubwa ya Taifa na Dunia nzima kwa ujumla.

Aliongeza kuwa mikoa ya Iringa,Mbeya,Njombe na Songwe imelengwa kwakuwa ina maambukizi makubwa kuliko maeneo mengine akiahidi kushirikiana na Wakuu wa Mikoa ya Kanda hiyo katika mapambano yenye kuleta matokeo chanya.

Grolia Kyando mwanafunzi wa Kidato Cha Pili toka Sekondari ya Buliaga Wilayani Rungwe aliyeshiriki uzinduzi wa zoezi hilo alisema kuwa atahakikisha anawajengea ujasiri wanafunzi wenzake wa kike katika kuepukana na vishawishi vinavyoweza kuwasababishia mimba za utotoni.

Ongea Redio Programu ni mpango unaoratibiwa na UNICEF kwa ushirikiano na TACAIDS pamoja TAMISEM ukiwalenga vijana wa miaka 15 hadi 19 katika masuala ya kujikinga dhidi ya VVU na UKIMWI,Elimu ya Afya ya Uzazi pamoja na jinsi ya kuepuka na mimba za utotoni.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa