• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

RC wa Songwe awataka wananchi wa mpakani kuishi kwa amani na nchi jirani

Imewekwa: May 3rd, 2019

   Na:Daniel Mwambene, Ileje DC                      

RC wa Songwe ametaka wakazi wa mpakani kuishi kwa amani na nchi jirani na kutatua matatizo yanayojitokeza kwa njia ya mazungumzo.

Zikiwa ni siku chache zimepita tangu Mhe.Rais Magufuli alipotembelee nchi ya Malawi Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Mstaafu Nicodemas Mwangela amewataka wakazi wa mkoa huo kulinda na kudumisha amani na nchi jirani.

Alitoa kauli hiyo alipokuwa kizungumza wilayani Ileje na Wahe.madiwani pamoja na watendaji wa serikali kwenye ukumbi wa Hospitali ya wilaya hiyo kufuatia taarifa ya kuhamahama kwa Mto Songwe ambao ni mpaka wa Tanzania na Malawi katika Kata ya Chitete.

Kiongozi huyo ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa huo akifafanua baada ya Mhe.Diwani wa Chitete Joseph Kayuni kutoa taarifa ya kuhama kwa  mto huo alisema wananchi wa maeneo ya mpakani hawana budi kuvumiliana katika kipindi kama hicho.

‘’Hakikisheni mnamaliza matatizo haya kwa kukaa mezani kwani sisi sote ni ndugu hili liko wazi  kwa mipaka mingi halikwepeki iwe Kenya na Uganda au mataifa yoyote ile watu wa pande mbili za mataifa huwa na mahusiano makubwa ya kihistoria’’.alisisitiza kiongozi huyo.

RC Mwangela alitumia nafasi hiyo kumwagiza Mkuu wa Wilaya ya Ileje Ndugu Joseph Mkude kuhakikisha anakutanana na Mkuu wa Wilaya ya Chitipa Malawi kuhakikisha wanakaa pamoja kushughulikia tatizo hilo.

Sehemu kubwa ya mpaka kati ya Tanzania na Malawi ni Mto Songwe ambao umekuwa ukihamahama mara kwa mara na kupelekea mataifa haya mawili kuwa na mradi wa pamoja wa Bonde la Mto Songwe ambao ulizinduliwa hivi karibuni wilayani Kyela nchini Tanzania.

Wakati maagizo hayo yakitolewa na Mkuu  wa Mkoa wa Songwe,tayari Wilaya ya Ileje imekuwa ikifanya vikao vya kidiplomasia na Wilaya ya Chitipa-Malawi vikilenga kuufanya mpaka huo kuwa makazi salama kwa wananchi wa pande zote.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa