• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

NDC WATEMBELEA MRADI WA SHAMBA LA MITI ILEJE

Imewekwa: January 19th, 2023

Watalaam kutoka Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC) kilichopo Jijini Dar es salaam wameipongeza Wilaya ya Ileje kwa hatua inazochukua katika kuhifadhi mazingira kwa kupanda miti na kuilinda miti ya asili.

Wakiwa kwenye mafunzo kwa vitendo ya siku moja wilayani hapa Januari,18,mwaka huu baadhi ya wakufunzi na wanachuo wameeleza kufurahishwa na hali hiyo hususani kwenye Mradi wa Shamba la Miti la Iyondo-Mswima.

Mkuu wa Msafara Mkufunzi Mwandamizi Balozi Noel Kaganda amempongeza Mkuu wa Wilaya pamoja na uongozi mzima wa wilaya na wananchi kwa kushikamana katika kutunza mazingira.

Meja Jenerali Wilbert Ibuge mmoja wa wakufunzi hao akielezea umuhimu wa mradi huo ameshauri uongozi wa shamba hilo kuhakikisha unashirikiana na wananchi wanaozunguka shamba hilo ili kuwatengenezea fursa zinazoweza kuwepo.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Ileje Anna Gidarya   amewaeleza watalaam hao kuwa tayari wakazi waliokuwepo katika makazi ya soko la Katengele ndani ya mradi wameshahama baada ya taratibu zote za kisheria kukamilika hivyo kuongeza usalama zaidi wa mradi.

Awali Jovan Emmanuel Mhifadhi wa shamba hilo alisema kuwa licha ya kujihusisha na upandaji miti pia wamekuwa wakigawa miche ya miti kwa vijiji vinavyozunguka mradi.

Wanachuo hao ni kutoka Tanzania pamoja na mataifa mengine yakiwemo Kenya,Uganda,Misri na Afrika Kusini.

 Shamba la Iyondo-Mswima lipo kwenye vilele vya milima yenye misitu ya asili na kupandwa ambayo ni chanzo cha mito mingi ikiwemo Mto Songwe na Kiwira inayomwaga maji katika Ziwa Nyasa.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa