• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

NDC WATEMBELEA MRADI WA SHAMBA LA MITI ILEJE

Imewekwa: January 19th, 2023

Watalaam kutoka Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC) kilichopo Jijini Dar es salaam wameipongeza Wilaya ya Ileje kwa hatua inazochukua katika kuhifadhi mazingira kwa kupanda miti na kuilinda miti ya asili.

Wakiwa kwenye mafunzo kwa vitendo ya siku moja wilayani hapa Januari,18,mwaka huu baadhi ya wakufunzi na wanachuo wameeleza kufurahishwa na hali hiyo hususani kwenye Mradi wa Shamba la Miti la Iyondo-Mswima.

Mkuu wa Msafara Mkufunzi Mwandamizi Balozi Noel Kaganda amempongeza Mkuu wa Wilaya pamoja na uongozi mzima wa wilaya na wananchi kwa kushikamana katika kutunza mazingira.

Meja Jenerali Wilbert Ibuge mmoja wa wakufunzi hao akielezea umuhimu wa mradi huo ameshauri uongozi wa shamba hilo kuhakikisha unashirikiana na wananchi wanaozunguka shamba hilo ili kuwatengenezea fursa zinazoweza kuwepo.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Ileje Anna Gidarya   amewaeleza watalaam hao kuwa tayari wakazi waliokuwepo katika makazi ya soko la Katengele ndani ya mradi wameshahama baada ya taratibu zote za kisheria kukamilika hivyo kuongeza usalama zaidi wa mradi.

Awali Jovan Emmanuel Mhifadhi wa shamba hilo alisema kuwa licha ya kujihusisha na upandaji miti pia wamekuwa wakigawa miche ya miti kwa vijiji vinavyozunguka mradi.

Wanachuo hao ni kutoka Tanzania pamoja na mataifa mengine yakiwemo Kenya,Uganda,Misri na Afrika Kusini.

 Shamba la Iyondo-Mswima lipo kwenye vilele vya milima yenye misitu ya asili na kupandwa ambayo ni chanzo cha mito mingi ikiwemo Mto Songwe na Kiwira inayomwaga maji katika Ziwa Nyasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ILEJE DC APRILI,17,2023 April 17, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA KWA WENYE SIFA HILI HAPA June 23, 2023
  • Orodha ya waliopata viwanja Isongole Ileje hii hapa September 13, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • CCM ILEJE WAKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI

    July 16, 2023
  • WAJASILIAMALI ILEJE WAHAMIA ENEO LA VIWANDA

    July 01, 2023
  • Mnyama nyati azua taharauki Ileje

    June 30, 2023
  • CCM WAKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI

    June 23, 2023
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa