• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Division
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Industry, Trade and Investment
      • Health social welfare and nutrition service
      • Elimu Msingi
      • Planning and Coordination
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Finance and accounts
      • Sports, Culture and arts
      • Government communication
    • Wards
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

Mwenge wa Uhuru watua nyumbani kwa Cheyo

Imewekwa: April 5th, 2019

 Mwenge wa Uhuru watua nyumbani kwa Cheyo


Mwenge wa Uhuru watua nyumbani kwa Mzee Cheyo utunzaji mazingira wampaisha asema ni njia mojawapo ya kumuenzi kwa vitendo Baba wa Taifa hayati Mwl.J.Nyerere.

Hatimaye Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Siku ya tatu mkoani Songwe tangu kuzinduliwa na Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan umeweza kufika nyumbani kwa Mzee Gidion Cheyo mbunge mstaafu wa Ileje na liyewakuwa Waziri Mwandamizi Awamu yaTatu.

Akikagua uhifadhi wa msitu unafanywa na mzee huyo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu Ndugu Mzee Mkongea Ali alipongeza juhudi hizo akisema ili kulinda vyanzo vya maji kama ulivyo ujumbe wa mwenge mwaka huu jamii haina budi kuunga juhudi za watu kama hao.

Msitu wa hifadhi wa mzee cheyo una ukubwa wa zaidi ya ekari 28 ukisheheni miti mingi ya asili ambayo anasema alishapata  hati ya umiliki wa msitu huo tangu 2001.

Mmoja wa wakazi wa eneo hilo alisema kuwa wamekuwa wakinufaika na msitu huo kwa kupata hewa safi pamoja dawa.

Wilaya ya Ileje iliupokea  Mwenge wa Uhuru kutoka kwa ndugu zao wa Songwe ili nao baada ya kumaliza mbio zke utakabidhiwa kwa Wilaya ya Momba

Matangazo

  • WALIOCHAGULIWA KUHUDHURIA MAFUNZO YA AJIRA ZA MUDA SENSA YA WATU NA MAKAZI ILEJE- DC 2022 July 27, 2022
  • BEI ZA VIWANJA VYA MPAKANI ISONGOLE- ILEJE HIZI HAPA August 03, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Ileje wapata Makamu Mwenyekiti mpya

    August 06, 2022
  • WALIOZUIA MSAFARA WA RC SONGWE WAIPONGEZA SERIKALI

    August 03, 2022
  • VIJANA ILEJE WAKOPESHWA TZSH.MILIONI 100,200,000 SIKU YA MAMA SAMIA

    March 19, 2022
  • TZSH.BILIONI 1.9 KUTOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU MKOANI SONGWE

    March 10, 2022
  • Tembelea Zote

Video

VIVUTIO VYA UTALII HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa