• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

"Mikutano ya vijiji hupunguza kero kwa wananchi".Nendeni mfuatilie iwapo inafanyika

Imewekwa: February 7th, 2023

Imeelezwa kuwa moja ya njia za kupunguza kero kwa wananchi ni kwa viongozi wa ngazi mbalimbali mkoani Songwe kufuatilia juu ya kufanyika kwa mikutano ya kesheria katika ngazi mbalimbali kuanzia vitongoji,vijiji,kata hadi wilaya na kuichukulia kama moja ya agenda katika ziara zao.

Hayo ni maagizo ya Mkuu wa Mkoa huo Mhe.Waziri Kindamba aliyoyatoa kwa wakurugenzi  Watendaji wa Halmashauri leo Februali 07, 2023 alipokuwa akifungua kikao cha tathimini ya utendaji wa halmashauri za wilaya kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Mkoa.

Mhe.Kindamba ameongeza kuwa kufanyika kwa mikutano ya kisheria katika vijiji kunapunguza kero na malalamiko mengi ya wananchi ambayo yanaweza kumalizwa na viongozi wa ngazi za chini lakini yamekuwa yakisubiri majibu kutoka ngazi za juu hali inayoharibu dhana ya utawala bora.

Ameongeza kuwa licha ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe.Rais  Dkt.Samia Suluhu Hassan kuendelea na kutoa mamilioni ya pesa za miradi bado wananchi wanahitaji kutatuliwa changamoto walizonazo kupitia mikutano ya hadhara ambayo ni haki yao ya kisheria.

Kupitia mikutano hiyo wananchi hupata taarifa mbalimbali zikiwemo za pesa za miradi zinazotolewa  na Mama Samia katika sekta mbalimbali za maendeleo.

“Nendeni kwenye halmashauri zenu kila mmoja kwa nafasi yake kufuatilia iwapo mikutano ya kisheria inafanyika  hoja na kero zinazoiibuka zinatolewa majibu na zile zinazowazidi zinapelekwa ngazi husika badala ya kuacha zikiwasumbua wananchi mioyoni mwao zikisubiri ziara za viongozi wa juu”Alisisitiza Mhe,Kindamba.

Mkoa wa Songwe ulio mchanga kuliko yote hapa nchini tangu kuanzishwa kwake una wilaya nne na halmashauri za wilaya tano na tumekuwa tukishuhudia viongozi wa mkoa huo wakihaha kuhakikisha kuwa umri wa kuzaliwa si kikwazo cha maendeleo.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa