• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Mhe.Samia Suluhu Hassan Azindua Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019 mkoani Songwe

Imewekwa: April 3rd, 2019

               Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019 zazinduliwa mkoani Songwe

Mbozi-Songwe

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amezindua Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2019 akisisitiza ujumbe wa mwenge kutekelezwa kwa vitendo ili kuleta matokeo chanya ikiwemo kupunguza maambukizi ya VVU na UKIMWI kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

Alisema kuwa maambukizi ya VVU na UKIMWI kwa mikoa ya Njombe,Iringa na Songwe ni makubwa ikilinganishwa na maeneo mengine hapa nchini hivyo mbio za mwenge zizae matunda ya kushuka kwa kiwango cha maambukizi kwa mikoa hiyo na taifa kwa ujumla.

Akizungumza na watanzania kwenye viwanja hivyo vya Kimondo vilivyopo kati ya Mlowo na Vwawa wilayani Mbozi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa aliwapongeza wananchi wa Songwe,mikoa ya jirani na taifa kwa ujumla jinsi walivyokuwa wamejitokeza kwenye  uzinduzi huo wakiweka kando itikadi za kisiasa na kutanguliza uzalendo kwenye masuala ya kitaifa.

Kupitia nyimbo,mashairi na sanaa vikundi mbalimbali viliweza kuelezea namna waasisi wa taifa hili hayati Mwl.J.k.Nyerere na Abeid Karume walivyoweza kujenga misingi imara ya utaifa ambayo haina budi kurithishwa kwa vizazi vijavyo.

Kikundi cha J.K.T Mlale toka mkoani Ruvuma kwa nyimbo zake kilionesha jinsi jeshi hilo linavyowajenga vijana wa nchi nzima katika kutumia sanaa kuwaunganisha watanzania.

Mkoa wa Songwe ulio na umri mchanga kuliko mikoa yote hapa nchini umebahatika kupewa heshima ya kuzindua mbio hizo kwa mwaka huu hali inayoweza kuwa chachu ya kuutambulisha zaidi kitaifa na kimataifa.

Kilele cha mbio hizo kinatarajiwa kufanyika mkoani Lindi mnamo Oktoba ,14 mwaka huu ukiwa ni utaratibu wa kukumbuka tarehe aliyofariki Baba wa Taifa hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere ukiwa umekimbizwa kwenye mikoa 31 yenye halmashauri/wilaya 195.

Ujumbe wa mwaka huu ni ‘’Maji ni haki ya kila mtu,Tutunze vyanzo vyake na Tukumbuke Kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa’’ pamoja na jumbe zingine ambazo ni ‘’Pima,Jitambue,Ishi’’,Nipo Tayari Kutokomeza Maralia Wewe Je?’’,Kataa Rushwa,’’Jenga Tanzania’’ na’’Tujenge Maisha Yetu,Jamii Yetu na Uhuru Wetu Bila Dawa za Kulevya’’.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa