• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

“Marufuku watoto kuonekana kwenye vilabu vya pombe” DC Ileje.

Imewekwa: July 13th, 2018


“Marufuku watoto kuonekana kwenye  vilabu vya pombe” DC Ileje

DC-Ileje apiga marufuku watoto kuonekana maeneo ya vilabuni,wachungaji na machifu waunga mkono waomba sheria ya kufungua vilabu vya pombe izingatiwe waongeza wanaovaa “kata K” pia washughulikiwe.

Mteule huyo wa Rais Ndg Joseph Mkude alitoa agizo hilo wakati wa kikao na Muungano wa Jamii Tanzania (MUJATA) kilichofanyika katika Kijiji cha Isoko Kata ya Kafule kikijumuisha viongozi wa dini machifu na wazee maarufu toka Tarafa ya Bundali ukiwa ni mwendelezo wa vikao hivyo vinavyolenga kuifanya wilaya ya Ileje kuwa makazi salama kwa wote.

“Kuanzia sasa ni marufuku kwa watoto kuonekana vilabuni,naagiza kwa watendaji wa kata,vijiji,wazazi na wananchi kwa ujumla,hata kwa watoto wanaobebwa kwani mazingira hayo si rafiki”alisisitiza kiongozi huyo.

Alisema kuwa ubongo wa mtoto anayeshinda maeneo ya vilabuni hauwezi kuepukana na tabia za ulevi kwa vile anaona na kushuhudia namna maisha ya kiulevi yanavyoendeshwa hali atakayoendeleza hata shuleni na hivyo kuzalisha raia wasio wema na kuwa mizigo kwa jamii.

Awali,Paroko Laymond Kapala wa Parokia ya Ipoka aliomba wazazi na walezi wasiwaogope watoto kwasababu ya viwango vyao vya elimu ikiwemo ya Chuo Kikuu.

“Ndugu zangu mmomonyoko wa maadili haujawaacha hata wasomi,sote tunaona vijana wetu wa Vyuo Vikuu wanavyoenenda hata kimavazi hakuna tofauti kati ya msomi na asiye msomi.

Alisema kuwa kamwe mtoto hakui kwa mzaziye hivyo ni jukumu la kila mwanajamii kuvaa viatu vya ulezi ili kuepukana na kupoteza maadili yetu mazuri ya Mtanzania.

Naye Mchungaji Peter Mwakamele wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Isoko aliomba serikali itoe tamko juu ya mavazi ya aibu yanayovaliwa na vijana wakiwemo watumishi wa serikali ukiwemo mtindo wa “kata K”ambao huonesha nguo za ndani kwa wanaume.

Kikao hicho kililenga kujadili kasi ya imani ya” rambaramba” ambalo limeanza kutishia hali ya usalama ya wilaya pamoja na hifadhi ya mazingira kwa serilkali na kwa kuwatumia machifu ambao zamani waliweza kufanikiwa sana.

Huo ni mwendelezo wa vikao katika kutoa elimu kwa jamii na kupata maoni namna maovu yanavyoweza kukomeshwa katika jamii ambapo Mkuu wa Wilaya alishafanya mkutano kama huu kwa Tarafa ya Bulambya ambapo viongozi wa MUJATA Wilaya ya Ileje walimweleza jinsi wanavyoshirikiana na machifu wa nchi jirani ya Malawi katika kupiga vita maovu yakiwemo mauaji ya imani za kishirikina  na albino.

“Marufuku watoto kuonekana kwenye  vilabu vya pombe” DC Ileje

DC-Ileje apiga marufuku watoto kuonekana maeneo ya vilabuni,wachungaji na machifu waunga mkono waomba sheria ya kufungua vilabu vya pombe izingatiwe waongeza wanaovaa “kata K” pia washughulikiwe.

Mteule huyo wa Rais Ndg Joseph Mkude alitoa agizo hilo wakati wa kikao na Muungano wa Jamii Tanzania (MUJATA) kilichofanyika katika Kijiji cha Isoko Kata ya Kafule kikijumuisha viongozi wa dini machifu na wazee maarufu toka Tarafa ya Bundali ukiwa ni mwendelezo wa vikao hivyo vinavyolenga kuifanya wilaya ya Ileje kuwa makazi salama kwa wote.

“Kuanzia sasa ni marufuku kwa watoto kuonekana vilabuni,naagiza kwa watendaji wa kata,vijiji,wazazi na wananchi kwa ujumla,hata kwa watoto wanaobebwa kwani mazingira hayo si rafiki”alisisitiza kiongozi huyo.

Alisema kuwa ubongo wa mtoto anayeshinda maeneo ya vilabuni hauwezi kuepukana na tabia za ulevi kwa vile anaona na kushuhudia namna maisha ya kiulevi yanavyoendeshwa hali atakayoendeleza hata shuleni na hivyo kuzalisha raia wasio wema na kuwa mizigo kwa jamii.

Awali,Paroko Laymond Kapala wa Parokia ya Ipoka aliomba wazazi na walezi wasiwaogope watoto kwasababu ya viwango vyao vya elimu ikiwemo ya Chuo Kikuu.

“Ndugu zangu mmomonyoko wa maadili haujawaacha hata wasomi,sote tunaona vijana wetu wa Vyuo Vikuu wanavyoenenda hata kimavazi hakuna tofauti kati ya msomi na asiye msomi.

Alisema kuwa kamwe mtoto hakui kwa mzaziye hivyo ni jukumu la kila mwanajamii kuvaa viatu vya ulezi ili kuepukana na kupoteza maadili yetu mazuri ya Mtanzania.

Naye Mchungaji Peter Mwakamele wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Isoko aliomba serikali itoe tamko juu ya mavazi ya aibu yanayovaliwa na vijana wakiwemo watumishi wa serikali ukiwemo mtindo wa “kata K”ambao huonesha nguo za ndani kwa wanaume.

Kikao hicho kililenga kujadili kasi ya imani ya” rambaramba” ambalo limeanza kutishia hali ya usalama ya wilaya pamoja na hifadhi ya mazingira kwa serilkali na kwa kuwatumia machifu ambao zamani waliweza kufanikiwa sana.

Huo ni mwendelezo wa vikao katika kutoa elimu kwa jamii na kupata maoni namna maovu yanavyoweza kukomeshwa katika jamii ambapo Mkuu wa Wilaya alishafanya mkutano kama huu kwa Tarafa ya Bulambya ambapo viongozi wa MUJATA Wilaya ya Ileje walimweleza jinsi wanavyoshirikiana na machifu wa nchi jirani ya Malawi katika kupiga vita maovu yakiwemo mauaji ya imani za kishirikina  na albino.


watoto kuonekana kwenye  vilabu vya pombe” DC Ileje

DC-Ileje apiga marufuku watoto kuonekana maeneo ya vilabuni,wachungaji na machifu waunga mkono waomba sheria ya kufungua vilabu vya pombe izingatiwe waongeza wanaovaa “kata K” pia washughulikiwe.

Mteule huyo wa Rais Ndg Joseph Mkude alitoa agizo hilo wakati wa kikao na Muungano wa Jamii Tanzania (MUJATA) kilichofanyika katika Kijiji cha Isoko Kata ya Kafule kikijumuisha viongozi wa dini machifu na wazee maarufu toka Tarafa ya Bundali ukiwa ni mwendelezo wa vikao hivyo vinavyolenga kuifanya wilaya ya Ileje kuwa makazi salama kwa wote.

“Kuanzia sasa ni marufuku kwa watoto kuonekana vilabuni,naagiza kwa watendaji wa kata,vijiji,wazazi na wananchi kwa ujumla,hata kwa watoto wanaobebwa kwani mazingira hayo si rafiki”alisisitiza kiongozi huyo.

Alisema kuwa ubongo wa mtoto anayeshinda maeneo ya vilabuni hauwezi kuepukana na tabia za ulevi kwa vile anaona na kushuhudia namna maisha ya kiulevi yanavyoendeshwa hali atakayoendeleza hata shuleni na hivyo kuzalisha raia wasio wema na kuwa mizigo kwa jamii.

Awali,Paroko Laymond Kapala wa Parokia ya Ipoka aliomba wazazi na walezi wasiwaogope watoto kwasababu ya viwango vyao vya elimu ikiwemo ya Chuo Kikuu.

“Ndugu zangu mmomonyoko wa maadili haujawaacha hata wasomi,sote tunaona vijana wetu wa Vyuo Vikuu wanavyoenenda hata kimavazi hakuna tofauti kati ya msomi na asiye msomi.

Alisema kuwa kamwe mtoto hakui kwa mzaziye hivyo ni jukumu la kila mwanajamii kuvaa viatu vya ulezi ili kuepukana na kupoteza maadili yetu mazuri ya Mtanzania.

Naye Mchungaji Peter Mwakamele wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Isoko aliomba serikali itoe tamko juu ya mavazi ya aibu yanayovaliwa na vijana wakiwemo watumishi wa serikali ukiwemo mtindo wa “kata K”ambao huonesha nguo za ndani kwa wanaume.

Kikao hicho kililenga kujadili kasi ya imani ya” rambaramba” ambalo limeanza kutishia hali ya usalama ya wilaya pamoja na hifadhi ya mazingira kwa serilkali na kwa kuwatumia machifu ambao zamani waliweza kufanikiwa sana.

Huo ni mwendelezo wa vikao katika kutoa elimu kwa jamii na kupata maoni namna maovu yanavyoweza kukomeshwa katika jamii ambapo Mkuu wa Wilaya alishafanya mkutano kama huu kwa Tarafa ya Bulambya ambapo viongozi wa MUJATA Wilaya ya Ileje walimweleza jinsi wanavyoshirikiana na machifu wa nchi jirani ya Malawi katika kupiga vita maovu yakiwemo mauaji ya imani za kishirikina  na albino.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa