• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Malawi watua ileje kujifunza uhifadhii wa mazingira

Imewekwa: March 23rd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Chitipa kutoka nchini Malawi Mhe.MaCMillani Magomero ameongoza timu ya watalaam wa utekelezaji wa Mradi wa Bonde la Mto Songwe kutembelea Wilaya ya Ileje kwa lengo la kujifunza uhifadhi wa mazingira.

 Ugeni huo umeshiriki kikao cha pamoja na timu kama hiyo kutoka Wilaya ya Ileje ikiongozwa na Mkuu Wa Wilaya ya Ileje Mhe.Farida Mgomi.

Akifungua kikao hicho cha siku moja kilichofanyika katika Ukumbi wa VIM uliopo Itumba Mhe.Mgomi alisema kuwa ziara hiyo ni muhimu kwa pande zote mbili kwa vile kila upande unahitaji kujifunza.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Chitipa alisema kuwa kufanyika kwa ziara hiyo ni mwendelezo wa kuimarisha mahusiano ya kindugu yaliyojengwa  na vizazi vilivyotangulia hata kabla ya mipaka hiyo kuwekwa na wakoloni.

Licha ya kufanya kikao hicho pia ugeni huo ulitarajiwa kutembelea  vijiji vya Bulanga,Malangali na Ilondo vilivyoanza kutekeleza baadhi ya miradi ya awali inayohusiana na Mradi wa Uhifadhi wa Bonde la Mto Songwe ambao ni mpaka wa Tanzania na Malawi.

Lengo kuu la Mradi huo ni kuthibiti kuhamahama kwa Mto huo hususani katika Wilaya ya Kyela Tanzania na Karonga Iliyopo Malawi.

Taarifa za kikao hicho zilieleza kuwa kwenye vijiji vitakavyotembelewa vya Kata ya Malangali kuna miradi ya kilimo parachichi pamoja na kahawa ambayo pia ipo katika vijiji vya Njebete 1,Njebete 2 na Njebete 3 upande wa Malawi.

Mradi wa Uhifadhi wa Bonde la Mto Songwe unahusisha Wilaya za Kyela,Mbozi Ileje,Momba na Mbeya Vijijini kwa Tanzania pamoja na wilaya za Chitipa na Karonga kwa upande wa Malawi.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa