• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Division
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Industry, Trade and Investment
      • Health social welfare and nutrition service
      • Elimu Msingi
      • Planning and Coordination
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Finance and accounts
      • Sports, Culture and arts
      • Government communication
    • Wards
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ILEJE YAFUNGWA,DC GIDARYA AWATAKA WAHITIMU KUWA WAZALENDO

Imewekwa: November 11th, 2022

Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mhe.Anna Gidarya wakati akifunga mafunzo  kwa vijana 104 wa Kata ya Sange Tarafa ya Bundali.

Gidarya amewataka vijana hao kutumia stadi walizozipata katika kuonesha uzalendo wao kwa taifa kivitendo wakilinda mipaka ya nchi usalama wa raia na mali zao badala ya kutumia  mafunzo hayo kunyanyasa wananchi.

“Ni Imani yangu kuwa mafunzo haya yamewajengea ukakamavu,ujasiri na kujiamini mkiwa tofauti na walioshindwa kuvumilia hadi mwisho wakakimbia”Alisema kiongozi huyo.

Meja Winfred Msheri,Mshauri wa Jeshi hilo wilayani humo  alisema kuwa jumla ya vijana 135 walianza mafunzo hayo huku wakihitimu 104 wakiwemo wa kike 8 tu akieleza sababu za utoro pamoja na utovu wa nidhamu kuwa chanzo.

Aidha,Meja Msheri alimweleza Mgeni Rasmi kuwa kuwepo kwa idadi hiyo ndogo ya wahitimu kunatokana na imani potofu iliyojengeka kwa baadhi ya wananchi kuwa mafunzo hayo ni mateso  hali iliyosababisha baadhi yao kukimbilia wilaya za jirani kwa lengo la kujificha.

Wahitimu hao,kupitia risala yao iliyosomwa na Shangwe Msokwa wameishukuru serikali kwa kuwajengea uzalendo,ukakamavu pamoja na stadi mbalimbali za maisha wakiahidi kuyatumia kwa mujibu wa sheria za nchi.

Kila mwaka mafunzo kama hayo hufanyika kwa kata moja kwa wilaya nzima ambapo kwa miaka ya hivi karibuni tayari yalishafanyika katika kata za Ngulugulu,Chitete,Mbebe,Itumba,Ngulilo pamoja na Ibaba

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA WILAYA ILEJE December 23, 2022
  • Orodha ya waliopata viwanja Isongole Ileje hii hapa September 13, 2022
  • BEI ZA VIWANJA VYA MPAKANI ISONGOLE- ILEJE HIZI HAPA August 03, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • "Mikutano ya vijiji hupunguza kero kwa wananchi".Nendeni mfuatilie iwapo inafanyika

    February 07, 2023
  • DC GIDARYA AMKABIDHI OFISI DC FARIDA MGOMI WA ILEJE

    February 05, 2023
  • DC FARIDA MGOMI ARIPOTI ILEJE,AANZA KAZI MARA MOJA

    January 31, 2023
  • MIILI YA WALIMU WALIOFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI YAAGWA ILEJE

    January 30, 2023
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa