• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Kero ya kuvunjika kwa daraja yamalizwa haraka Ileje

Imewekwa: December 23rd, 2019

Hatimaye  serikali imeondoa kero kubwa ya siku mbili iliyokuwa imekata mawasiliano kati ya Isongole na Itumba Makao Makuu ya Wilaya ya Ileje baada ya daraja linalounganisha vijiji hivyo viwili kuvunjika,huku wanchi wakipongeza kasi ya utatuzi huo.

Serikali kupitia TANROAD mkoa wa Songwe wakiwa bega kwa bega na Mkuu wa Wilaya hiyo Ndg.Joseph Mkude walikuwa wakihaha huku na kule kuhakikisha mawasiliano hayo yakirudi haraka.

Mwandishi wa habari hizi aliyekuwa akifuatilia kila kinachoendelea  kwenye eneo la tukio alishuhudia mafundi wakifanya kazi hadi giza kuwaondoa hali iliyopongezwa na wanachi wengi .

Akizungumza name akiwa anaelekea Isongole kwenye mnada Philimon Ngambo mfanyabiashara wa Itumba alisema kuwa hawakutegemea kama utatuzi huo ungefanywa kwa siku mbili kwani huko nyuma hali hiyo ingechukua hata mwezi mmoja.

Lovemore Mwatwambo dreva bajaj,mmoja wa watumiaji wa daraja hilo kila siku alisema kuwa kwa muda mfupi hali hiyo iliwathiri wengi hasa wale abiria waliokuwa hawajui  tatizo hilo ambao walijikuta wakilipa nauli karibu mara mbili ya iliyokuwa imeoeleka.

Hata hivyo kijana huyo alitoa ushauri kwa mamlaka husika kuwa na utaratibu wa maram kwa mara wa kukagua madaraja katika msimu huu wa badala ya kusubiri madhara yatokee.

Awali baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo walieleza jinsi walivyoweza kuathirika na tatizo la daraja hilo hasa katika kipindi hiki ambacho kuna maandalizi ya Krismas na Mwaka Mpya.

Daraja hili lipo kwenye kijito Nakambekeswa karibu na Sekondari ya Serikali ya Ileje na linaunganisha pia kwenye barabara za Wilaya za Mbeya Vijijini ,Mbozi na nchi jirani ya Malawi.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa