• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Division
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Industry, Trade and Investment
      • Health social welfare and nutrition service
      • Elimu Msingi
      • Planning and Coordination
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Finance and accounts
      • Sports, Culture and arts
      • Government communication
    • Wards
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

Kero ya kuvunjika kwa daraja yamalizwa haraka Ileje

Imewekwa: December 23rd, 2019

Hatimaye  serikali imeondoa kero kubwa ya siku mbili iliyokuwa imekata mawasiliano kati ya Isongole na Itumba Makao Makuu ya Wilaya ya Ileje baada ya daraja linalounganisha vijiji hivyo viwili kuvunjika,huku wanchi wakipongeza kasi ya utatuzi huo.

Serikali kupitia TANROAD mkoa wa Songwe wakiwa bega kwa bega na Mkuu wa Wilaya hiyo Ndg.Joseph Mkude walikuwa wakihaha huku na kule kuhakikisha mawasiliano hayo yakirudi haraka.

Mwandishi wa habari hizi aliyekuwa akifuatilia kila kinachoendelea  kwenye eneo la tukio alishuhudia mafundi wakifanya kazi hadi giza kuwaondoa hali iliyopongezwa na wanachi wengi .

Akizungumza name akiwa anaelekea Isongole kwenye mnada Philimon Ngambo mfanyabiashara wa Itumba alisema kuwa hawakutegemea kama utatuzi huo ungefanywa kwa siku mbili kwani huko nyuma hali hiyo ingechukua hata mwezi mmoja.

Lovemore Mwatwambo dreva bajaj,mmoja wa watumiaji wa daraja hilo kila siku alisema kuwa kwa muda mfupi hali hiyo iliwathiri wengi hasa wale abiria waliokuwa hawajui  tatizo hilo ambao walijikuta wakilipa nauli karibu mara mbili ya iliyokuwa imeoeleka.

Hata hivyo kijana huyo alitoa ushauri kwa mamlaka husika kuwa na utaratibu wa maram kwa mara wa kukagua madaraja katika msimu huu wa badala ya kusubiri madhara yatokee.

Awali baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo walieleza jinsi walivyoweza kuathirika na tatizo la daraja hilo hasa katika kipindi hiki ambacho kuna maandalizi ya Krismas na Mwaka Mpya.

Daraja hili lipo kwenye kijito Nakambekeswa karibu na Sekondari ya Serikali ya Ileje na linaunganisha pia kwenye barabara za Wilaya za Mbeya Vijijini ,Mbozi na nchi jirani ya Malawi.

Matangazo

  • WALIOCHAGULIWA KUHUDHURIA MAFUNZO YA AJIRA ZA MUDA SENSA YA WATU NA MAKAZI ILEJE- DC 2022 July 27, 2022
  • BEI ZA VIWANJA VYA MPAKANI ISONGOLE- ILEJE HIZI HAPA August 03, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Ileje wapata Makamu Mwenyekiti mpya

    August 06, 2022
  • WALIOZUIA MSAFARA WA RC SONGWE WAIPONGEZA SERIKALI

    August 03, 2022
  • VIJANA ILEJE WAKOPESHWA TZSH.MILIONI 100,200,000 SIKU YA MAMA SAMIA

    March 19, 2022
  • TZSH.BILIONI 1.9 KUTOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU MKOANI SONGWE

    March 10, 2022
  • Tembelea Zote

Video

VIVUTIO VYA UTALII HALMASHAURI YA WILAYA YA ILEJE
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa