• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

ILEJE YASHIRIKI MAFUNZO YA BOOST KANDA YA MBEYA

Imewekwa: December 23rd, 2022

Zaidi ya Maafisa 12 wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje wameungana na maafisa wengine  wa hapa nchini kupewa uelewa juu ya mradi wa uboreshaji Elimu ya Awali na Msingi hapa nchini.

Mafunzo hayo ya siku mbili yamefanyika katika Shule ya Sekondari Loleza Jijijini Mbeya yakiwa ni sehemu ya maandalizi au mwanzo wa mradi huo mkubwa unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (World Bank) kwa kutengewa zaidi Trilioni na jumla ya madarasa elfu 12 yakitarajiwa kujengwa.

Akizungumza na washiriki hao Mratibu wa Mradi huo Ngazi ya Taifa Ndg.Yusuph Omary alisema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo watalaam hao ambao ni waundaji wa timu za halmashauri katika kutekeleza mradi huo wa miaka mitano ukitarajiwa kukamilika mnamo 2026.

Katika mafunzo mada mbalimbali zimeweza kutolewa zikiwemo za mapato na matumizi ya fedha za mradi,maana ya mradi,lengo kuu la mradi,uboreshaji wa umahili wa walimu,kuimarisha TEHAMA katika vituo vya walimu na katika shule teule na umuhimu wa kushirikisha jamii katika utekelezaji wa mradi huu mkubwa.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wameipongeza serikali ya Awamu ya Sita kwa kuwapa elimu hiyo kabla hawajaanza kutekeleza mradi huo.

Washiriki hao ni kutoka Elimu Msingi,Idara ya Fedha,Kitengo cha Manunuzi,Maendeleo ya Jamii,Ujenzi,Mipango Tume ya Utumishi ya Walimu (TCS)Wathibiti Ubora wa Elimu pamoja na Maafisa Habari.

Mafunzo ya aina hiyo yametolewa na serikali kwa uratibu wa O-TAMISEMI kwa kanda zote tisa hapa nchini huku ukitarajiwa utekelezaji wake kuwa wa kiushindani katika ngazi mbalimbali yaani mikoa,halmashauri hadi kwenye ngazi ya shule utakakokuwa mradi.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKURUGENZI ILEJE AONGOZA HAFLA YA KUWAAGA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 31, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAKARIBISHA MADAKTARI BINGWA

    May 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa