• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Ileje yapata vitambulisho 3500 vya wajasiliamali 2020

Imewekwa: June 3rd, 2020

Vitambulisho 3500 kugawiwa kwa wajasiliamali Wilayani Ileje,huku TRA wakiwataka Watendaji wa Kata kuzingatia maagizo ya serikali ili kuepusha usumbufu kwa wananchi.

Akizungumza kwenye kikao cha siku moja kilichojumuisha watalaam toka Ofisi ya DED pamoja na Watendaji wa Kata Mkuu wa Wilaya hiyo Ndg.Joseph Mkude alisema kuwa vitambulisho hivyo ni pungufu ya vitambulisho 5600 vilivyouzwa mwaka jana kutokana na kuwa na takwimu za wajasiliamali tofauti na ilivyokuwa mwaka uliopita.

Kiongozi huyo aliwataka wasimamizi wa zoezi hilo kuhakikisha wanalisimamia kulingana na maelekezo ya serikali pasipo kuwanyanyasa wananchi .

Ndg.Haji Mnasi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo aliahidi kusimamia vema zoezi hilo ili kuleta matokeo chanya kwa serikali.

Alisema kuwa wale wenye sifa walio na mauzo yasiyozidi milioni nne kwa mwaka watapata vitambulisho hivyo na kuwandeleza ili kufufikia hatua zingine kibiashara.

Wilaya ya Ileje ina kata 18 hivyo watendaji wa kata hizo waliweza kugawiwa vitambulisho kulingana na takwimu za wajasilamali kwa eneo husika.

Utaratibu wa kugawa vitambulisho vya aina hiyo hapa nchini uliamza mwaka jana lengo la serikali likiwa ni kuwalinda wafanyabishara wadogo na kuongeza mapato ya kiserikali.

Zoezi hili ambalo linafanyika kidijitali linasimamiwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya huku utekekezaji wake ukifanywa na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa