• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Ileje wakutana na Malawi kujadili masuala ya aujirani mwema

Imewekwa: November 26th, 2022

Wakuu wa Wilaya za Ileje-Taanzania na Chitipa-Malawi wamekutana katika Makao Makuu ya Wilaya ya Ileje iliyopo mkoa wa Songwe na kuzungumzia masuala mbalimbali kwa lengo la kuimarisha mahusiano katika mpaka huo.

Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Anna Gidarya ambaye alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho kutokana na wenyeji wake cha siku moja kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Radiwelo aliwataka wajumbe kujadili kwa kina agenda za kikao hicho kwa manufaa ya pande hizo mbili.

Pia Gidarya alitoa wito kwa wajumbe kushiriki kwa vitendo baadhi ya mambo yanayoimarisha mahusiano kama vile michezo kwenda sanjali na kikao kijacho ambacho kinatarajiwa kufanyika katika wilaya ya Chitipa kwenye nchi hiyo iliyo pia mwananchama wa SADC, AU,Jumuia ya Madola pamoja na UNO kama ilivyo kwa Tanzania.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Chitipa Mhe.MacMillan Magomero alisisitiza juu ya kufanyika kwa vikao vya aina hiyo vitakavyoleta tija kwa maisha ya wakazi wa wilaya hizo jirani na kwa mataifa hayo mawili ya Tanzania na Malawi.

Hata hivyo kiongozi huyo toka Malawi aliwatahadharisha wajumbe kuzingatia kuwa si kila kitu kinaweza kujadiliwa katia vikao hivyo kwa vile mambo mengine ni ya ngazi za juu za uongozi.

Katika kikao hicho watalaam waligawanyika katika makundi ya kiidara na kisekta ili kuweza kubadilishana uzoefu kisha kutoa mrejesho kwa kikao ili kujenga uelewa wa pamoja.

Mahusiano ya Tanzania na Malawi kupitia mpaka wa Malawi ni ya muda mrefu huku baadhi ya miradi ya maendeleo ikionesha kuimarisha mahusiano hayo.

Miradi hiyo ni pamoja na barabara ya Mpemba hadi Isongole iliyojengwa kwa kiwango cha lami inayoendelea kuongeza watumiaji wa pande hizo mbili siku hadi siku,huku mradi wa Bonde la Mto Songwe ukiendeshwa kiushirika nan chi hizi mbili.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa