• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Ileje Fm Radio 105.3 yaanza kurusha vipindi vya masomo ya Elimu ya Msingi

Imewekwa: May 7th, 2020

Ileje FM ambayo ni redio ya Jamii katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe imeanza rasmi kurusha masomo kwa shule za msingi kuanzia Darasa la IV-VII redioni ili kuwasaidia wanafunzi kuendelea kupata elimu katika kipindi hiki cha janga la virusi vya corona.

Afisa Elimu Msingi wa Wilaya Mwl Godwini Mukaruka alisema wameamua kutumia ya redio ya kijamii ya Ileje FM 105.3 (Sauti ya Jamii) itakachotumika kurusha vipindi vya masomo kwa wakati wote wa janga hili.

Kwa nini redio Ileje FM­­?

Mwl. Mukaruka alisema redio inasikika maeneo mengi ya Wilayani hapa, hivyo wanafunzi watapata elimu katika kipindi ambacho shule zimefungwa kwa sababu ya Corona.

Aliongeza kuwa ili kufanikisha zoezi hilo vipindi vitakuwa vikirushwa kuanzia saa 2.00-4.00 Asubuhi kwa masomo mawili na 11.00 jioni kwa masomo mengine mawili huku wakitumia walimu waliopo wilayani humo.

Taarifa kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri hiyo kupitia Idara ya Elimu Msingi ilieleza kuwa masomo yaliyoanza kufundishwa ni pamoja na Kiingereza,Kiswahili Sayansi na Maarifa ya Jamii.

Aidha, Mwl. Micheal Legonda Afisa Taaluma Elimu Msingi  amesema utaratibu huo utasaidia kutokana na mrejesho anaoupata kupitia simu za wanafunzi wanaofuatilia vipindi hivyo.

Serikali ilisitisha masomo kuanzia shule za msingi hadi Vyuo Vikuu tangu Machi 17 huku njia mbadala zikichukuliwa kuhakikisha watoto hawakai bila kazi ambapo miongoni mwa njia za kuwafikia wanafunzi ni pamoja na kurusha masomo kwa njia ya redio, kama wilaya ya ileje ilivyoanza kufanya.

 

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa