• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

DED ILEJE ARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA NJE "OPD"

Imewekwa: December 24th, 2020

Wakati ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Ileje koani Songwe ukiendelea Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Ndg.Haji Mnasi ametembelea eneo la ujenzi na kuridhishwa na hatua zilizofikiwa kwenye ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD)

Akiwa ameongozana na baadhi ya watalaam wa Ofisi yake Mnasi aliweza kukagua jengo hilo ambalo awali lilianza kujengwa na mkandarasi kabla ya Chuo Kikuu cha MUST Mbeya kupewa kazi hiyo.

“Niwapongeze sana Must kwa kazi nzuri mnayoifanya katika jengo hili,naamini kukamilika kwake mtakuwa mmeandika historia katika wilaya hii” aliwasifia DED huyo mara baada ya kumaliza ukaguzi.

Aliongeza kuw, miradi kama hiyo inapojengwa kwa viwango vinavyotakiwa inafungua milango mingine ya upataji fedha toka serikalini kwa kuwa viongozi wa juu huamini kuwa fedha hizo huenda kuwapunguzia kero wananchi wanyonge ambao serikali ya awamu hii inawapigania.

Naye Mhandisi Dickson Chigundu toka MUST anayesimamia jengo hilo aliahidi kuwa watahakikisha jengo hilo linajengwa kwa viwango vinavyotakiwa hali itakayoongeza hadhi ya chuo chao ambacho huzalisha pia watalaam wa ujenzi.

Janet Makoye Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo alimweleza kiongozi huyo kuwa huduma kwa baadhi ya majengo zinatarajiwa kuanza kutolewa mara vifaa vitakapowasili.

Mpaka sasa serikali imeshatoa zaidi ya Shilingi Bilioni 1 na milioni 800 kwaajili wa upanuzi wa Hospitali ya Wilaya na zaidi ya milioni 900 kwaajili ya Vituo vya Afya vya Ibaba na Lubanda ambapo kukamilika kwake kutawapunguzia wananchi kwenda wilaya zingine na nchi jirani ili kupata huduma za afya.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKURUGENZI ILEJE AONGOZA HAFLA YA KUWAAGA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 31, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAKARIBISHA MADAKTARI BINGWA

    May 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa