• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

“ACHENI UBINAFSI KWENYE UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO“ DC GIDARYA WA ILEJE

Imewekwa: December 29th, 2022

Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na watumishi wote wa umma kwa ujumla wilayani Ileje mkoani Songwe wametakiwa kuondokana na roho ya ubinafsi wakati wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe Anna Gidarya mapema leo Alhamisi Desemba,29,2022 alipoongoza Kamati ya Usalama kukagua Mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya pamoja na Kituo cha Afya cha Ndola.

Akiwa Ndola kiongozi huyo hakuridhishwa na kasi,viwango vya ubora pamoja na nidhamu ya uzingatiaji wa maagizo ya viongozi wa ngazi mbalimbali za serikali kuanzia taifa,mkoa hadi wilaya.

Alisema kuwa pesa za mradi wowote wa serikali zinapotolewa katika halmashauri haziwi za idara husika pekee,bali ni kwa wote kutakiwa kujua kiasi cha pesa kilichotolewa,pokelewa,namna mradi utakavyotekelezwa,uwazi kwa wajumbe wa kamati za usimamizi pamoja na wananchi wote.

Mhe.Gidarya aliongeza kuwa idara inayohusika inapokuwa haiweki wazi taarifa kuhusu mradi na wengine kuamua kususia kwa kukosa taarifa kisha kukaa kimya wakisubiri mradi ukwame ni jambo lisilokubalika.

Alisema kuwa mradi unapoharibika inakuwa si aibu ya mtu mmjo au watu wachache bali taasisi nzima kisha huchafua taswira ya serikali mbele ya wananchi ambao wanakuwa na matumaini na matarajio makubwa juu ya mipango ya serikali katika kuwaletea maendeleo.

Mhe.Mohamed Mwala Diwani wa Kata ya Itumba palipo na hospitali ya wilaya akizungumza kwenye eneo la mradi wa ujenzi wa jengo la wagonjwa mahututi alishukuru serikali kwa kuendelea kutao mamilioni ya fedha kwaajili ya miradi ya maendeleo huku akishauri ulinzi na ufuatiliaji wa fedha hizo pamoja na utunzaji wa vifaa vya ujenzi uongezwe mara dufu kwenye maeneo ya miradi.

Miradi ya maendeleo ya serikali kila inapotekelezwa hupitiwa na mamlaka mbalimbali zikiwemo Kamati za watalaam za halmashauri,Usalama za Wilaya,Wahe.madiwani,Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,Kamati za Bunge,wafadhili wa miradi husika,Wahe.Mawaziri pamoja na viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi ya Taifa,mkoa na wilaya wakijiridhisha namna Ilani ya Uchaguzi inavyotekelezwa na kupunguza kero kwa wananchi.

Wilaya ya Ileje imeendelea kunufaika na mamilioni ya fedha zinazotolewa na serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambazo matokeo yake yanaonekana kwenye ujenzi wa vyumba vya kisasa vya madarasa,miundombinu ya barabara afya,mikopo kwa vjiana,wanawake,wenye ulemavu pamoja na mikopo ya bei nafuu ya pembejeo za kilimo.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa