• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Seconadary Education
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Tathmini
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

DED ILEJE ARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA NJE "OPD"

Imewekwa: December 24th, 2020

Wakati ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Ileje koani Songwe ukiendelea Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Ndg.Haji Mnasi ametembelea eneo la ujenzi na kuridhishwa na hatua zilizofikiwa kwenye ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD)

Akiwa ameongozana na baadhi ya watalaam wa Ofisi yake Mnasi aliweza kukagua jengo hilo ambalo awali lilianza kujengwa na mkandarasi kabla ya Chuo Kikuu cha MUST Mbeya kupewa kazi hiyo.

“Niwapongeze sana Must kwa kazi nzuri mnayoifanya katika jengo hili,naamini kukamilika kwake mtakuwa mmeandika historia katika wilaya hii” aliwasifia DED huyo mara baada ya kumaliza ukaguzi.

Aliongeza kuw, miradi kama hiyo inapojengwa kwa viwango vinavyotakiwa inafungua milango mingine ya upataji fedha toka serikalini kwa kuwa viongozi wa juu huamini kuwa fedha hizo huenda kuwapunguzia kero wananchi wanyonge ambao serikali ya awamu hii inawapigania.

Naye Mhandisi Dickson Chigundu toka MUST anayesimamia jengo hilo aliahidi kuwa watahakikisha jengo hilo linajengwa kwa viwango vinavyotakiwa hali itakayoongeza hadhi ya chuo chao ambacho huzalisha pia watalaam wa ujenzi.

Janet Makoye Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo alimweleza kiongozi huyo kuwa huduma kwa baadhi ya majengo zinatarajiwa kuanza kutolewa mara vifaa vitakapowasili.

Mpaka sasa serikali imeshatoa zaidi ya Shilingi Bilioni 1 na milioni 800 kwaajili wa upanuzi wa Hospitali ya Wilaya na zaidi ya milioni 900 kwaajili ya Vituo vya Afya vya Ibaba na Lubanda ambapo kukamilika kwake kutawapunguzia wananchi kwenda wilaya zingine na nchi jirani ili kupata huduma za afya.

Matangazo

  • MALIPO YA WALIMU TAYARI,ORODHA HII HAPA January 08, 2021
  • MAJINA YA WATAKAOHUDHURIA SEMINA YA USIMAMIZI WA UCHAGUZI MKUU JIMBO LA ILEJE 2020 HAYA HAPA October 21, 2020
  • Vituo vya semina kwa makarani Uchaguzi Mkuu Jimbo la Ileje October 23, 2020
  • Vituo vya semina kwa Wasimamizi wa Vituo na Wasimamizi wasaidizi,(hawa ndo wanaotakiwa huhudhuria) October 23, 2020
  • Tembelea Zote

Mpya

  • DC wa Ileje asamehe wezi wa miche ya miti,asema somo limeeleweka

    January 24, 2021
  • "Msizuie usajili wanafunzi wa Kidato cha Kwanza kwa kukosa sare" DC Ileje

    January 07, 2021
  • DED ILEJE ARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA NJE "OPD"

    December 24, 2020
  • Songwe wajiandaa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi

    December 14, 2020
  • Tembelea Zote

Video

Mhe.Rais Magufuli awataka watalaam kutumia taaluma zao hapa nchini ,aruhusu ajira mpya
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa