• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

AJIRA MPYA

Imewekwa: November 12th, 2017

WATENDAJI WAPYA WA VIJIJI ILEJE WATAKIWA KUTOIAIBISHA SERIKALI

Daniel Mwambene,Ileje


Zaidi ya Maafisa Watendaji 43 na mpishi mmoja wametakiwa kuepuka na vitendo vyote vinavyoweza kuizalilisha serikali kwenye vituo vyao vya kazi watakavyopangiwa.

Hayo yalitolewa na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya 44 kati ya 47 nafasi za Maafisa Watendaji wa vijiji na mpishi mmoja waliotakiwa kuwepo.

Akifungua mafunzo hayo ,Mkurungenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Ndugu Haji Mnasi aliwataka kuzingatia maadili ya utumishi wa umma ili kuipa heshima serikali katika maeneo yao ya kazi ambako ndiko waliko wananchi.

‘’Mnakwenda kufanya kazi na wananchi ambao ni walemgwa wa mipango yote ya nchi hivyo kafanye kazi mkibeba sura ya serikali ya nchi hii kwa kuepukana na vitendo vyote vinavyoiaibisha serikali kwa wananchi wake”,aliwambia kiongozi huyo.  

Mkurugenzi huyo alisema kuwa ,vitendo vyote vya aibu vinapofanywa na mtumishi wa umma kwa wananchi huhesabiwa kama vile vinafanywa na serikali hivyo hawana budi kuepukwa.

Pamoja na mambo mengine,kiongozi huyo aliwataka viongozi hao wa vijiji kwenda kuhakikisha mapato ya serilkali hayapotei na hawawi chanzo cha kupotea kwa mapato hayo akiahidi kutumia kama kipimo cha utendaji wa kazi wao.

Naye,mmoja wa watendaji wa wa Kikosi cha Kupambana na Rushwa(TAKUKURU)Ndugu Julius aliwataka waajiriwa hao kuepukana na vitendo vyote vinavyochochea rushwa ikiwa ni ushiriki wao katika kupiga vita hali hiyo ambayo huathiri utoaji wa huduma kwa wananchi.

Ikumbukwe kuwa,hadi kufikia hatua hii safari ya waajiriwa hawa ilikuwa ndefu ambapo katika kuomba hizo nafasi 47 karibu maombi 3000 yalipokekewa na walioitwa kwenye usaili ni 946.

Hata hivyo,kati ya waajiriwa 46 wa nafasi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji waliofika ni 43 na mpishi huyo mmoja jumla yao wote ni 44 huku watatu wakiwa hawajafika kwenye hatua hii ya kujaza mikataba ya ajira

Ajira hizi zimekuja ikiwa ni hatua baada ya watendaji wa vijiji waliokuwepo kukosa sifa kulingana na mikataba yao ya ajira ya mwaka 2014 ambapo wale wa Darasa la Saba walitakiwa kujiendeleza hadi kufikia Elimu ya Kidato Cha nne.




Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa