• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

WANANCHI ILEJE WATAKIWA KULINDA MISITU YA ASILI

Imewekwa: November 22nd, 2017

Na;Daniel Mwambene,Bupigu-Ileje.

Mjumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama(katikati) akimwonyesha Mkuu wa Wilaya  ya Ileje  Mh. Joseph Mkude(kulia) madhara ya kukatwa kwa mti huo.


Serikali wilayani Ileje mkoani Songwe imewataka wananchi kushikamana katika kulinda miti ya asili ikiwa ni njia mojawapo ya kulinda rasilimali ya maji.

Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Bupigu Mkuu wa Wilaya hiyo ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mhe,Joseph Mkude aliwataka wananchi hao kutoingiza itikadi za kisiasa katika kulinda mazingira.

Alitoa kauli hiyo,kufuatia kukatwa na kuangushwa kwa mmojwapo wa miti mikubwa katika kijiji hicho kwa malengo ya ujenzi wa shule na kuharibu ikolojia ya mahali pale alisema matokeo ya uharibifu huo yana madhara kwa watu wote bila kujali tofauti zao.

Mto huo uliokuwa karibu na Mto Songwe ulio mpaka kati ya Tanzania na Malawi ulipokatwa ulileta mvutano kati ya mamlaka zinazohusika na kulinda rasilimali za Taifa ikiwemo miti hiyo ya asili.

Wakati wa vikao kadhaa na wananchi walimweleza kiongozi huyo kuwa walikata mti huo kwaajili ya ujenzi wa shule kwa kuwa miti hiyo hawezi kuliwa kwa urahisi na mchwa  ambao ni tatizo kubwa katika Tarafa ya Bulambya.

Mmoja wa wakazi wa kijiji hicho Ndugu Jackison Mwenga alimwomba kiongozi huyo kuendelea kutoa elimu ya mazingira kwa vile wamekuwa wakiishi kwa mazoea bila kujua kuwa baadhi ya shughuli hizo zinachangia kuharibu mazingira.

Uchunguzi umebaini kuwa kutokana na ukubwa wa mti huo zaidi ya mbao 300 zinatarajiwa kupatikana huku ukujaji wake ilikufikia kiwango hicho ni zaidi ya miaka 100.

Akijibu hoja hiyo na nyinginezo Mh. Mkude aliwataka wananchi hao kubadilika kwa kuanza kutumia mbao nyeupe ambazo zinatokana na miti ya kupandwa kwa kupaka dawa za kuzuia wadudu hao.

Kumekuwa na matukio kadhaa ya baadhi ya wananchi wilayani humu kukata miti kwaajili ya shughuli mbalimbali yakiwemo matumizi ya nyumbani,ujenzi na nishati.

        Sehemu ya mti uliokatwa katika kijiji cha Bupigu wilayani Ileje na kuharibu ikolojia ya sehemu hiyo.


Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa