• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Wanafunzi Wenye mahitaji maalum wagawiwa vifaa

Imewekwa: February 17th, 2021

Ileje-Songwe

Hatimaye wanafunzi wenye mahitaji maalum wamepatiwa vifaa vitakavyosaidia kujifunza ukiwa ni mgao toka Serikali Kuu baada ya bilioni kadhaa kutumika kununulia vifaa hivyo.

Zoezi hilo liliongozwa na Kaimu Afisa Elimu Msingi Wilayani Ileje Mkoani Songwe Mwl.Bashiri Msegeya ambaye ndiye msimamizi wa kitengo hicho .

Shule zilizonufaika na mgao huo ni pamoja na shule ya Msingi Ikumbilo Kata ya Chitete ambako mtoto Gift Sichinga mwenye matatizo ya ngozi alipokea mafuta maalum ya kupakaa,kofia na miwani maalum itakayomsaidia kukabiliana na jua.

Akizungumza mara baada ya kupokea vifaa hivyo mtoto huyo aliishukuru serikali kwa msaada huo akisema utaongeza usalama wa ngozi yake inayodhurika juani.

Zoezi hilo liliendelea hadi Shule ya Msingi Mbebe ambapo pana Darasa la watoto 19 wenye mahitaji maalum ambapo wamepokea vifaa vya kuchezea pamoja na mabango mbalimbali ya kujifunzia.

Akizungumza shuleni hapo Afisa Elimu huyo alisema kuwa hivi karibuni Wilaya hiyo inatarajia kuanzisha kitengo maalum cha watoto wa mahitaji maalum katika shule hiyo na hivi karibuni mwalimu aliyesomea masuala hayo ataanza usimamizi wa kitengo hicho.

Hadi sasa Wilaya ya Ileje ina jumla ya shule nne zenye madarasa ya watoto wenye mahitaji maalum ambazo ni Ilulu,Mkumbukwa,Ikumbilo na Chitete uteuzi wa shule hizo ukizingatia wingi wa watoto wa aina hiyo kutokana na sense inayoyofanywa mara kwa mara.

Wilaya hiyo ikitekeleza hayo tayari serikali ilishaunda Wizara Maalum inayoshughulikia masuala hayo lengo  likiwa ni kuhakikisha watu wa aina hiyo wanapata haki zao za msingi ikiwemo elimu.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa