• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Walimu watakiwa kuimarisha mawasiliano na wanafunzi

Imewekwa: October 15th, 2020

Walimu hapa nchini wametakiwa kufungua milango ya mawasiliano baina yao na wanafunzi ili kuwezesha uhuru wa kujieleza ukiwemo utoaji wa taarifa juu ya vitendo vya unyanyasaji  kwa wanafunzi wa kike na kiume.

Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Ajira,Mafunzo na Maendeleo ya Walimu(TSC) Bi.Christina Happy wakati akizungumza na Maafisa Utumishi,viongozi wa elimu wa Wilaya ya Ileje  pamoja na walimu wa Kata ya Itumba ambayo ni Makao Makuu ya Wilaya hiyo.

Alisema kuwa mawasiliano yakiwa mazuri yanarahisha upatikanaji wa taarifa za vitendo vya ukatili hata kwa watoto wa kiume wanaolawitiwa pasipo wao wenyewe kujieleza kwa vile tu imezoeleka katika jamii kuwa wanaonyanyashwa mara nyingi ni watoto wa kike.

Aliongeza kuwa wanafunzi wakijingewa urafiki wa kusikilizwa na walimu wao wataweza kutoa taarifa za aina hiyo ,hivyo kuwezesha sheria za nchi kuingilia kati na hatimaye kuongeza usalama wao.

Aidha kiongozi huyo alipongeza Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kwa jinsi wanavyotoa ushirikiano kwa Ofisi ya Tume ya Utumishi ya Walimu katika kuhakikisha kuwa huduma kwa walimu pamoja na maadili ya ualimu yanazingatiwa ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua kwa pamoja walimu wanaokiuka maadili hayo.

Walimu kwa upande wao walimwomba kiongozi huyo kuhakikisha anafikisha kilio cha madai yao na haki mbalimbali kwa viongozi hali itakayoongeza utenaji kazi unaoleta matokeo chanya.

Asalile Kabuje mwalimu toka shule ya Msingi Rungwa amesema viongozi wa ngazi mbalimbali hawana budi kuwa chanzo cha kuwatia moyo wa kufanya kazi kwa bidii ili kufikia malengo ya elimu.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa