• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

WAJASILIAMALI ILEJE WAHAMIA ENEO LA VIWANDA

Imewekwa: July 1st, 2023

Zaidi yam ashine sita za kubangua karanaga katika kijiji cha Isongole Wilayani Ileje zimehamishwa kutoka eneo la soko na kupelekwa kwenye eneo lililotengwa kwaajili ya viwanda katika Kitongoji cha Chumbageni A.

Kuhamishwa kwa mashine hizo kunatokana na mpangilio sahihi wa makazi ambapo enelo walilohamishiwa wajasiliamali hao ndilo sahihi kwa shughuli za viwanda vikiwemo viwanda vidgovidogo kama hivyo.

Wakizungumza katika eneola tukio baadhi ya wajasiliamali hao wamesema kuwa wameridhishwa na kuhamia katika eneo hilo kwani mara kwa mara walikuwa wakiingia katika migogoro na majirani zao wa kibishara kwa tuhuma za kuchafua mazingira kutokana na kelele,vumbi pamoja na maganda ya karanga.

Isaya Ngabo mmoja wa wamiliki wa mashine hizo alisema kuwa amesema ana amini kuwa eneo hilo nisahihi kwao na hawatakuwa kero kwa watu kama lilivyokuwa lile la awali la soko.

Hata hivyo ameomba TANESCO kutupia macho katika eneo hilo ili ili kuwaondolea kero ya umeme ambayo kwa siku tatu walizofanya kazi hapo imekuwa inapunguza kasi ya uzalishaji kwa wanaamini kuwa umeme uliokuwa umepelekwa hapo awali ulilenga matumizi ya nyumbani na si viwanda.

Naye Pendo Kajange mmoja wa wateja wanaobangua karanga katika mashine hizo amesema kuwa kuyumbayumba kwa umeme kunakwamisha kasi na kupoteza muda mwingi katika mashine hizo na kukwamisha shughuli zingine.

Andinginie Kamwela mkazi wa kitongoji hicho ameelezwa kukerwa kwake na hali ya umeme kuyumbayumba na kuathiri matumizi yake ndani ya nyumba zao.

Eneo hilo kwaajili ya viwanda lilitengwa na halmashauri ya wilaya ukiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi inayoelekeza upangaji sahihi wa matumizi ya ardhi.

Katika ziara yake miaka kadha iliyopita Waziri Mkuu wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Mkoani Songwe aliagiza kila halmashauri kuwa na mpango mzuri wa ardhi ili kuepusha migogoro,hali ambayo Ileje imeendelea kutekeleza kwa kupima viwanja katika kijiji cha Isongole mpakani na Malawi pamoja na Ipapa.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa