• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Vikao Bonde la Mto Songwe vyaanza Wilayani Ileje

Imewekwa: May 27th, 2020

Vikao kwaajili ya kupata uelewa kuhusu Mradi wa Bonde la Mto Songwe vimeanza kwa wataalam na Wahe. Madiwani Wilayani Ileje Mkoani Songwe katika Ukumbi wa Hoteli ya VIM mjini Itumba Wilayani humo.

Akifungua kikao cha kwanza hivi leo Jumatano kwa watalaam toka Halmashauri hiyo watakaohusika na usimamizi wa Mradi huo unaojumuisha nchi za Tanzania na Malawi Mkurugenzi Mtendaji  Haji Mnasi alizishukuru serikali  zote mbili kwa jinsi zinavyohangaikia mradi huo ili kufikie malengo yake

Mnasi,alisema kuwa mradi huo utaimarisha mahusiano ya nchi hizo na kuongeza kasi ya maendeleo kwa wananchi wa mpakani  hali itakayoongeza pia mapato ya ndani  ya Halmashauri.

Akizungumza katika kikao hicho Kaimu Katibu Mtendaji  Sekretariaeti ya Bonde la Mto Songwe Mhandisi Gabriel Kalinga alisema kuwa mradi utahusu ujenzi wa mabwawa matatu katika Kata za Bupigu,Malangali na mpakani mwa Wilaya za Ileje na Kyela.

Mhandisi Kalinga  aliongeza kuwa lengo la mradi huo ni kukabiliana na kubadilika kwa mpaka kutokana na kuhama hama kwa mto Songwe kunakosababishwa na uharibifu wa mazingira na hivyo kuleta nadhara makubwa kijamii,kisiasa na kiutawala.

Hapo kesho Alhamisi kunatarajiwakufanyika kwa vikao vya Wakuu wa Idara na Vitengo huku Ijumaa ya Tarehe 29/5/2020 kukitarajiwa kikao cha Wahe.Madiwani

Mradi wa Bonde la Mto Songwe unausisha Wilaya tano kwa upande wa Tanzania ambazo ni Ileje,Kyela,Mbeya Vijijini,Mbozi na Momba huku Wilaya za Chitipa na Karonga zikiwa upande wa Malawi.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa