• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Vigogo wa upinzani Ileje wahamia CCM

Imewekwa: September 20th, 2019


                                             Vigogo wa upinzani Ileje wahamia CCM

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hapa nchini  vigogo wanne wa vyama vya siasa vya upinzani wilayani Ileje vimepoteza majembe yake baada ya kuhamia CCM ili kuijenga Tanzania mpya kama walivyosema.

Waliokabibdhi kadi zao za vyama vya awali kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Songwe na kupewa kadi mpya za kijani ni pamoja na Ndg.Pitirosi Mshani aliyekuwa Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Itumba ambayo ni Makao Makuu ya Wilaya ya Ileje.

Wngine ni Ndg.Francis Mbembela aliyegombea udiwani kata ya Isongole 2015 kupitia ACT Wazalendo akitokea CHADEMA ambako aliwahi kuwa kiongozi pia,Eliamu Kibona pia (CHADEMA) alikuwa ni mjumbe wa Serikali ya Kijiji cha Itumba pamoja na mama Dale Kaonga aliyekuwa tishio upande wa wanawake kisiasa akitokea CHADEMA.

Wakizungumza mara baada ya kupokelewa na Katibu wa Mkoa wageni hao waliahidi kukitumikia chamaa hiki na kuhakikisha kinashinda kwa kishindo katika uchaguzi huu.

“Kazi zinazofanywa na Awamu hii haziwezi kupingwa kwa lolote kwani zinalenga kuwakomboa watanzania,yeyote anayepinga matokeo ya kazi hizi atakuwa anapingana na Mungu”Alisema Ndg.Eliamu Kibona.

Akizungumza na wajumbe wa kikao kwenye Ukumbi wa CCM wilayani humo(maarufu kama Kimwaga) Bi.Mecy Moleri aliwataka wanachama wa CCM kuungana na wanachama hao wapya katika kazi mbalimbali za chama ikiwemo mipango ya ushindi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu.

Naye,Diwani wa Kata ya Itumba Mhe.Mohamed Mwala alifurahia kupokea wageni hao akisema hakika chama kimepata majembe ya kazi.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa