• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

TUTAHAKIKISHA MAKAA HAYA YA MAWE HAYAWANUFAISHI TENA KYELA- MHE. UBATIZO SONGA

Imewekwa: March 29th, 2024

Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Ileje imetembelea na kukagua Mradi wa Makaa ya Mawe Kiwira sambamba na vitalu vya makaa ya mawe katika eneo la Ileje lililopo mpakani na Wilaya ya Kyela.

Katika Kamati hiyo ambayo imeongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya yetu ambaye pia ni Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Bupigu Mhe. Ubatizo Songa imebaini uchimbwaji usiokuwa rasmi wa makaa ya mawe ambapo kwa kiasi kikubwa makaa hayo yamechimbwa katika eneo la Wilaya ya Ileje na kuuzwa katika eneo la Wilaya ya Kyela hivyo kusababisha upotevu mkubwa wa mapato yaliyotakiwa kuingia upande wa Ileje.

Katika ziara hiyo Kamati imebaini kuwa changamoto kubwa iliyopelekea wawekezaji hao kuuzia makaa ya mawe katika eneo la Kyela ni kutokana na miundombinu kutokuwa rafiki katika eneo la upande wa Ileje hivyo kulazimisha muwekezaji kuuzia makaa hayo upande wa Kyela na hivyo kuchepusha mapato stahiki.

Aidha, pamoja na kubaini mapungufu hayo Kamati kupitia kwa Mwenyekiti wake ambaye ni Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Mhe. Ubatizo Songa imedhimia kuondoka na mkakati wa kuhaklikisha makaa hayo yam awe hayatainufaisha tena Halmashauri ya Wilaya ya Kyela  ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira au miundombinu rafiki kwa ajili ya kuwezesha ufanisi wa utekelezaji wa mradi huo ili Halmashauri ya Wilaya ya Ileje ianze kunufaika na rasilimali hiyo.

“Lakini kwa mkakati ambao tutakwenda nao tutakapokwenda kwenye majumuisho ni kuhakikisha haya makaa hayawanufaishi tena Kyela kwa maana kama makaa ya kwao tunaondoka na mkakati wa kuhakikisha tunaweka watu ambao watakuwa ni wakusanya ushuru katika eneo letu la Ileje kabla hayajafika kwenye eneo hili la Kyela.” amesema Mhe. Songa.

Katika hatua nyingine Kamati ilifanya ziara hadi eneo la Kiwanda cha Mradi wa Makaa ya Mawe Kiwira-Kabulo ambapo Kamati ilipokea taarifa kutoka kwa Mratibu wa Mradi Mhandisi Peter Maha ambapo mbali na kubaini changamoto kadhaa Kamati ilitoa maagizo na maelekezo kwa Uongozi wa kiwanda hicho kuongeza uzalishaji ili kuweza kukidhi mahitaji ya wateja.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa