• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Serikali yajipanga kupunguza mlundikano wa mahabusu

Imewekwa: July 7th, 2021

Katika kuhakikisha kuwa mlundikano wa mahabufu unapungua serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejipanga kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuwaachia huru watuhumia ambao ushahidi dhidi yao haujitoshelezi kwa muda mrefu.

Hayo yalielezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Geofrey Mizengo Pinda wakati wa ziara yake ya siku moja Wilayani Ileje mkoani Songwe alipotembelea Gereza la Ileje na kuzungumza na waandishi wa habari.

“Ni kweli wamekuwepo mahabusu ambao kesi zao nyingi zimekosa ushahidi ambao serikali haiwezi kuendelea kusimama nao mahakamani,watu kama hao hatuna sababu ya kuendelea nao” Alifafanua Mhe.Pinda.

Aliongeza kuwa ni muhimu Ofisi ya DPP kupitia mkakati wake kujaribu kupunguza kesi ili kuhakikisha kuwa mahabusu zetu zinapumua kwa kuondoa mlundikano.

Alisema kuwa kuna baadhi ya mahabusu na wafungwa wa nchi za nje wamekuwa wakituingizia hasara kwa makosa ambayo wangerudishwa tu makwao badala ya kuendelea kuwashikilia kihasara.

Akiwa gerezani hapo aliweza kuzungumza na wafungwa pamoja na mahabusu kwa kupokea kero na malalamiko yao akiahidi kuyafanyia kazi kupitia Ofisi ya DPP.

Katika ziara hiyo alifuatana pia na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe Mhe.Neema Mwandabila ambaye siku kadhaa zilizopita aliweza kutoa magodoro na mablanketi kwaajili ya wafungwa na mahabusu wa Gereza hilo la Ileje.

Mwanzoni mwa uongozi wake,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan aliziagiza mamlaka zinazohusika kuchukua hatua za kuwaachia mahabusu wenye kesi zisizo na ushahidi,kisha tukashuhudia kuachiwa kwa Mashehe wa Uamusho.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa