• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

REJESHENI MKOPO KWA WAKATI ILI WENGINE WAPATE NAFASI

Imewekwa: February 11th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mheshimiwa Farida Mgomi, ametoa rai kwa vikundi vya maendeleo vilivyopata mkopo wa asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri kuhakikisha wanarejesha  kwa wakati  ili kutoa nafasi kwa vikundi vingine na kunufaika na huduma ya mkopo  huo kwa awamu nyingine.

Akizungumza mapema leo wakati wa Hafla ya Kukabidhi Pikipiki 21 pamoja Pikipiki za Magurumu Matatu 2 vyenye thamani ya shilingi milioni 89,785,000/= kwa  vikundi vitano  vya ujasiriamali vinavojihusisha na huduma za usafirishaji katika wilaya ya Ileje, Dc Mgomi amewapongeza Wajasiriamali wa Wilaya hii kwa kujitokeza kusajiliwa ili wapate Vitambulisho   vya Wafanyabiashara kwani vitawasaidia kutambulika na kupata Mikopo  kwa Tasisi husika pamoja na huduma  ya kufanya miamala mbalimbali Kidigitali.

Aidha amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri yetu, Bi. Nuru Waziri Kindamba kwa kusimamia vyema mchakato mzima wa utoaji wa Mikopo ya Asilimia kumi ya mapato ya ndani  na kuhakikisha inawafikia na kuwanufaisha walengwa husika .

Katika hatua nyingine Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ameviasa vikundi vilivyopewa pikipiki kuzingatia sheria za usalama bararabarani, kuwa na Nidhamu ya Fedha, pamoja na Kutunza Familia zao kupitia kipato watakachokipata kupitia huduma za usafirishaji watakazokuwa wakizitoa katika jamii.

Vikundi vilivyokabidhiwa pikipiki siku ya leo ni pamoja na  Kikundi cha Never Give Up (Guta 2) Kikundi cha Kazi Iendelee ( pikipiki 3) Kikundi cha Chitulano ( pikipiki 3) Kikundi cha Jitegemee ( Pikipiki 5) pamoja na Kikundi cha Chapakazi (Pikipiki 10)  zote zikiwa na thamani ya shilingi milioni 89,785,000/=.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa