• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Nendeni mtumie pikipiki hizi kuwafikia wananchi

Imewekwa: February 23rd, 2023

Maafisa Watendaji wa Kata waliogawiwa pikipiki wilayani Ileje wametakiwa kuzitumia kwa manufaa ya umma badala ya shughuli zao binafsi.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Farida Mgomi katika viunga vya Halmashauri ya Wilaya hiyo mara baada ya kukabidhi pikipiki sita kwa baadhi ya maafisa hao.

Alisema kuwa vyombo hivyo vya usafiri vinatarajiwa kuwa chachu ya kuongeza utendaji kazi wa kila siku ikiwemo kufuatilia vikao,mikutano na shughuli za maendeleo katika vijiji vyao ukiwa ni utekelezaji wa maagizo ya serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mama Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mhe.Ubatizo Songa Mwenyekiti wa Halmshauri hiyo akizungumza katika hafla hiyo iliyoshuhudiwa na viongozi mbalimbali wa wilaya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji alipongeza juhudi hizo za serikali kwa kuwakumbuka watendaji hao walio karibu na wananchi.

Alisema kuwa pikipiki hizo zitaongeza kasi ya ukusanyaji mapato hususani kwenye kata za pembezoni zilizo mbali na Makao Makuu ya Wilaya ambako wamezielekeza yaani kata za Ikinga,Ngulugulu,Sange,Lubanda,Luswisi na Ngulilo.

Ndg.Rodrick Sengela Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo alishukuru serikali kwa mgao huo huku akiahidi kuwa wataendelea kuunga juhudi hizo za Mhe.Rais kwa kununua pikipiki hata kwa awamu kwaajili ya kata zilizobaki.

Ikumbukwe kuwa wilaya hiyo yenye tarafa mbili za Bundali na Bulambya ina jumla ya kata 18 hivyo kupatikana kwa pikipiki hizo sita kunaacha pengo la pikipiki 12.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa