• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Mkoa wa Songwe kutoa chanjo ya polio zaidi ya asilimia 100%

Imewekwa: December 1st, 2022

Wazazi na walezi wametakiwa kuimarisha kinga za watoto dhidi ya ulemavu kwa kuwapatia Chanjo ya Matone ya Polio katika kipindi hiki cha Awamu ya Nne itakayofanyika kwa siku nne kuanzia Desemba Mosi,2022.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa Songwe Mhe.Waziri Kindamba alipokuwa akizindua Kampeni ya Polio hapo Novemba, 30, 2022 katika Hospitali ya Vwawa huku watoto 342,692 wakitarajiwa kupata chanjo hiyo.

Mhe.Kindamba ametoa wito kwa wazazi na walezi wote mkoani humo kupeleka watoto wenye umri chini ya miaka mitano katika vituo vya kutolea huduma za afya ili wapate chanjo ya matone ya Polio au kutoa ushirikiano kwa watalaam wa afya watakaopita nyumba kwa nyumba kuwapatia chanjo watoto hao.

“Ugonjwa wa polio umeripotiwa katika nchi jirani za Malawi na Msumbiji,hivyo sisi tukiwa majirani ni lazima tuchukue tahadhari kwa kuwakinga watoto wetu kwa chanjo kabla ugonjwa huu haujaingia  hapa nchini,kwani kinga ni bora kuliko tiba”Alihimiza Mhe.Kindamba.

Kiongozi huyo aliongeza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan itahakikisha kuwa inawalinda watoto kwa gharama yoyote akisema kuwa hawa ndio Taifa la Tanzania ya kesho.

Bi.Happiness Seneda katibu Tawala wa Mkoa huo amesema kuwa watalaam wa afya wamejipanga vya kutosha kuhakikisha wanawafikia watoto wote walengwa kwa zaidi ya asilimia 100% kama walivyofanya katika awamu zilizopita.

Alibainisha kuwa awamu ya kwanza iliyofanyika Machi ilikuwa asilimia 117, Awamu ya Pili Mei 128 % na Awamu ya Septemba walifikia watoto kwa asilimia 119%.

Moses Lyimo Mratibu wa chanjo ya polio mkoani humo alisema kuwa Kampeni ya Awamu  ya Nne wanatarajia kuwafikia watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano hata kama mtoto atakuwa amepata chanjo siku moja kabla ya uzinduzi anatakiwa kupata kwani ziada haina madhara yoyote.

Ikumbukwe kuwa mkoa wa Songwe una jumla ya wilaya nne ambazo ni Ileje,Mbozi,Momba na Songwe huku ukiwa na halmashauri tano ambazo ni Ileje,Mbozi,Momba Songwe na Mji wa Tunduma.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa