• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Division
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Community Development
      • Industry, Trade and Investment
      • Health social welfare and nutrition service
      • Elimu Msingi
      • Planning and Coordination
      • Elimu Sekondari
    • Vitengo
      • Taaluma ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Finance and accounts
      • Sports, Culture and arts
      • Government communication
    • Wards
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari

MIILI YA WALIMU WALIOFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI YAAGWA ILEJE

Imewekwa: January 30th, 2023

Ibada ya kuaga miili ya walimu wawili wa sekondari ya Ikinga wilayani Ileje katika mkoa wa Songwe ilifanyika hapo jana Januari 30,2023 katika viunga vya Ofisi za Halmashauri ya wilaya hiyo kabla ya kusafirisahwa kwenda Mbeya na Kyela kwa mazishi.

Walimu hao wawili(ambao walikuwa marafiki enzi za uhai wao) Tumain Mwakyusa pamoja na Sunday Mwanjalila walipoteza uhai baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Kijiji cha Izuba wilayani humo na kupoteza uhai papo hapo.

Akihubiri katika ibada hiyo Askofu Akimu Mwinyilu wa Kanisa la EAGT wilaya ya Ileje aliwakumbusha watu wote kukumbuka kuwa sote tukiwa na mipango mingi ya kimaisha tunaweza kupoteza uhai muda wowote kama ilivyotokea kwa vijana hao.

Askofu Mwanyilu aliongeza kuwa ndoto zao zimekatishwa kwa muda mfupi hali inayoweza kumkuta mwanadamu yeyote.

Geofrey Nnauye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri hiyo alisema kuwa vifo hivyo vimetokea wakati wilaya ikiwa kwenye mchakamachaka wa kujikwamua kitaaluma vimeaccha pengo si kwa familia zao tu bali hata kwa taifa zima kutokana na utendaji wao.

Michael Ligola aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa akiwa Katibu Msaidizi upande wa elimu alipongeza umoja  ulioneshwa na watu wote tangu mwanzo hadi ibada hiyo ilipokuwa ikifanyika.

Alisema kuwa watoto wote watano walioachwa  na wazazi hao wawili wa kiume toka hizo familia mbili wanahitaji kuangaliwa kwa macho ya karibu na watu wengi ukiwemo mkoa ili kufikia ndoto zao.

Mhe.Ubatizo Songa Mwenyekiti wa Halmashauri aliitaka jamii nzima kudumisha yale mazuri waliyokuwa wakiyasimamia kila siku wapendwa hao

Wazazi wa marehemu kwa ujumla wao walishukuru viongozi wa wilaya,mkoa na wananchi kwa ujumla kwa namana wavyolibeba tatizo hilo tangu mwanzo.

Mauti iliwafika walimu hao Jumapili, 29 ,januari,2023 baada ya pikipiki kupata dosari katika kijiji cha Izuba Kata ya Isongole wakitokea Mbozi mwishoni mwa juma ambako iliielezwa kuwa ndiko familia zao ziliko.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA WILAYA ILEJE December 23, 2022
  • Orodha ya waliopata viwanja Isongole Ileje hii hapa September 13, 2022
  • BEI ZA VIWANJA VYA MPAKANI ISONGOLE- ILEJE HIZI HAPA August 03, 2022
  • Tembelea Zote

Mpya

  • SERIKALI YATOA BILIONI 5.7 UJENZI WA BARABARA MGODI WA MAKAA YA MAWE KIWIRA ILEJE

    March 22, 2023
  • Nendeni mtumie pikipiki hizi kuwafikia wananchi

    February 23, 2023
  • "Funikeni visima vyote vilivyo wazi ili kuwaepushia majanga watoto"DC Farida Mgomi wa Ileje

    February 19, 2023
  • "Mikutano ya vijiji hupunguza kero kwa wananchi".Nendeni mfuatilie iwapo inafanyika

    February 07, 2023
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • Matokeo ya kidato cha nne 2017
  • ILEJE SECONDARY SCHOOL
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL /YOUTUBE

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa