• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

MIILI YA WALIMU WALIOFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI YAAGWA ILEJE

Imewekwa: January 30th, 2023

Ibada ya kuaga miili ya walimu wawili wa sekondari ya Ikinga wilayani Ileje katika mkoa wa Songwe ilifanyika hapo jana Januari 30,2023 katika viunga vya Ofisi za Halmashauri ya wilaya hiyo kabla ya kusafirisahwa kwenda Mbeya na Kyela kwa mazishi.

Walimu hao wawili(ambao walikuwa marafiki enzi za uhai wao) Tumain Mwakyusa pamoja na Sunday Mwanjalila walipoteza uhai baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Kijiji cha Izuba wilayani humo na kupoteza uhai papo hapo.

Akihubiri katika ibada hiyo Askofu Akimu Mwinyilu wa Kanisa la EAGT wilaya ya Ileje aliwakumbusha watu wote kukumbuka kuwa sote tukiwa na mipango mingi ya kimaisha tunaweza kupoteza uhai muda wowote kama ilivyotokea kwa vijana hao.

Askofu Mwanyilu aliongeza kuwa ndoto zao zimekatishwa kwa muda mfupi hali inayoweza kumkuta mwanadamu yeyote.

Geofrey Nnauye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri hiyo alisema kuwa vifo hivyo vimetokea wakati wilaya ikiwa kwenye mchakamachaka wa kujikwamua kitaaluma vimeaccha pengo si kwa familia zao tu bali hata kwa taifa zima kutokana na utendaji wao.

Michael Ligola aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa akiwa Katibu Msaidizi upande wa elimu alipongeza umoja  ulioneshwa na watu wote tangu mwanzo hadi ibada hiyo ilipokuwa ikifanyika.

Alisema kuwa watoto wote watano walioachwa  na wazazi hao wawili wa kiume toka hizo familia mbili wanahitaji kuangaliwa kwa macho ya karibu na watu wengi ukiwemo mkoa ili kufikia ndoto zao.

Mhe.Ubatizo Songa Mwenyekiti wa Halmashauri aliitaka jamii nzima kudumisha yale mazuri waliyokuwa wakiyasimamia kila siku wapendwa hao

Wazazi wa marehemu kwa ujumla wao walishukuru viongozi wa wilaya,mkoa na wananchi kwa ujumla kwa namana wavyolibeba tatizo hilo tangu mwanzo.

Mauti iliwafika walimu hao Jumapili, 29 ,januari,2023 baada ya pikipiki kupata dosari katika kijiji cha Izuba Kata ya Isongole wakitokea Mbozi mwishoni mwa juma ambako iliielezwa kuwa ndiko familia zao ziliko.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa