• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Makabidhiano ya Ofisi ya DC Ileje yafanyika Jumatano 24/06/2021

Imewekwa: June 25th, 2021

Makabidhiano ya Ofisi ya DC Ileje yamefanyika katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya hiyo huku DC Mkude akiaga rasmi baada ya kuitumikia Ileje karibu miaka sita.

Akizungumzia mafanikio yake kwa kipindi hicho aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Ndg .Joseph  Mkude amewashukuru viongozi wa kitaifa,mkoa,wilaya pamoja na wananchi kwa ujumla kwa jinsi walivyoshiriki katika kuijenga wilaya na kufanikiwa kuifikisha hapa ilipo.

Alibainisha baadhi ya miradi ambayo imefanyika katika kipindi chake kuwa ni ujenzi wa barabara ya Mpemba hadi Isongole kwa kiwango cha lami Zaidi ya km 50.

Mingine ni ujenzi wa Hospitali ya Wilaya,vituo vya Afya vya Lubanda na Ibaba pamoja na utekelezaji wa Ilani juu ya ujenzi wa zahanati kwa kila kijiji ambapo Zaidi ya zahanati 40 zimejengwa.

Naye Mkuu wa Wilaya hiyo,Mhe.Anna Gidarya amesema kuwa ana matarajio makubwa wa kupata ushirikiano kutoka kwa viongozi mbalimbali wa wilaya hiyo katika kuwatumikia wananchi ili waweze kufikia malengo ya kitaifa katika ujenzi wa taifa.

Amesema kuwa ili kufikia malengo hayo lazima kutanguliza upendo na kuheshimiana kwa kuzingatia maelekezo ya mamlaka zinazotuongoza.

Makabidhiano hayo ni hatua ya mwisho kwa DC Joseph Mkude aliyehamia Wilaya ya Kishapu na nafasi yake ikichukuliwa na DC Anna Gidarya aliyeteuliwa hivi karibuni.

Mhe,Gidarya anakuwa Mkuu wa Wilaya wa nane tangu kuanzishwa kwa wilaya huku akiwa DC wa tatu wa mwanamke akipata nafasi ya kuwa moja wa wawakilishi wa wanawake katika kuongeza usawa katika uongozi na kupunguza fikra za mfumo dume.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa