• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Maafisa ugani wa Halmashauri yaWilaya ya Ileje mkoani Songwe wakimsikiliza Afisa Uvuvi .

Imewekwa: June 1st, 2018

DED Ileje awapo Somo Maafisa Ugani,awataka waache kukaa ofisini na kwenda vijijini kuhudumia wananchi

Wakati shughuli za uvunaji  wa nafaka zikiwa zimepamba moto Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe amewataka Mafisa Ugani kwenda kwa wakulima na wafugaji ili kusimamamia kwa karibu sekta hiyo.

Mkurugenzi huyo Ndugu Haji Mnasi ameyasema hayo wakati wa kikao kazi cha siku moja cha wataalam hao kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo kikilenga kujadili masuala mbalimbali ya kilimo  na mifugo.

‘’Utendaji kazi wenu lazima ulete matokeo chanya kwa wananchi yatakayobadili hali duni za maisha na kwenda kwenye hali bora zaidi mkiwa wabunifu kulingana na maeneo yenu ya kazi’’alisisitiza kiongozi huyo.

Alisema kuwa,huu si wakati wa kukaa ofisini kama ilivyokuwa imezoeleka bali ni wakati ambao wataalam wanatakiwa kwenda kwa wananchi ili kubadali njia za uzalishaji mali zilizopitwa na wakati na kuwawezesha  kutumia teknojia ya kisasa.

Akizungumza katika kikao hicho,Afisa Kilimo na Umwagiliaji wa Halmashauri hiyo Ndugu Herman Njeje aliwataka wataalam hao kuwa kioo katika jamii kwa jinsi wanavyoendesha shughuli zao binafsi za kilimo ili wananchi waweze kuiga kwa vitendo badala ya kuendelea kutoa nadharia.

‘’Fanyeni shughuli zenu kitaalam kwani jamii ina imani kubwa sana na idara hii kwa vile inagusa moja kwa moja maisha yao ya kila siku,hivyo mafanikio yao yanategemea sana taaluma  juhudi zenu”alisema Ndugu Njeje.

Wakizungumza katika kikao hicho, Maafisa Ugani hao waliomba mawasiliano ya mara kwa mara yafanyike ili waweze kuwajulisha wananchi juu ya mabadiliko yanayotokea  pamoja na taarifa muhimu toka ngazi za juu kuwafikia wananchi ili kutopata taarifa zilizopitwa na wakati.

Tayari Halmashauri hiyo ilishatekeleza agizo la serikali la kupunguza Maafisa wa Idara hiyo katika Ofisi ya Mkurugenzi ambapo kati ya nane waliokuwepo tayari watano walishapangiwa vijijini huku wakibaki maafisa watatu,lengo la serikali likiwa ni kusogeza huduma kwa wananchi.



Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWATAKA WAKULIMA WA PARETO KUONGEZA UZALISHAJI

    July 01, 2025
  • Tanzania, Malawi na Zambia Wakutana Ileje Kukabili Magonjwa ya Mlipuko Mipakani

    July 02, 2025
  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa