• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

Imewekwa: May 1st, 2025

Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kwa mwaka 2025 Mkoani Songwe yameadhimishwa katika Wilaya ya Mbozi. Katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Mheshimiwa Farida Mgomi amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Daniel Chongolo Kama mgeni rasmi  katika maadhimisho ya sherehe hizo.

Akihutubia  wafanyakazi waliokusanyika katika viwanja vya Maadhimisho, Mheshimiwa Mgomi amewasihi Wafanyakazi kushiriki kwa ukamilifu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu, kwa lengo la kuchagua Viongozi bora watakaosimamia masilahi ya wafanyakazi na ustawi wa Taifa kwa ujumla.

Aidha, alibainisha kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kuboresha na kusimamia vyema ustawi na masilahi bora ya wafanyakazi nchini. Alieleza kuwa hatua mbalimbali zimekuwa zikichukuliwa ikiwa ni pamoja na kuendelea kutoa ajira mpya, kuboresha mazingira ya kazi, kulipa madeni na malimbikizo ya  watumishi wa umma.

Katika kuimarisha Nidhamu ya Matumizi ya Rasilimali, Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya aliwataka Waajiri wote kuacha kuzalisha madeni mapya yasiyokuwa na msingi, ambayo yamekuwa mzigo kwa serikali. Alisisitiza kuwa ni muhimu kuhakikisha kila haki ya mfanyakazi inalindwa kwa mujibu wa Sheria ili kuimarisha uwajibikaji na ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi. Pia, alizitaka Halmashauri zote ndani ya Mkoa wa Songwe kufanya marekebisho ya Mishahara kwa haraka pindi mtumishi anapopanda daraja. Alieleza kuwa hakuna sababu ya msingi ya kuchelewesha mchakato huo, kwani ucheleweshaji huo unachangia kuibua madeni yasiyo ya lazima ambayo yanaongeza mzigo kwa Serikali.

Akihitimisha hotuba yake, Dc Mgomi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, aliwataka Waajiri wote kuendelea kuzingatia misingi ya Haki, Sheria na Kanuni katika kushughulikia masuala yanayohusu masilahi ya Watumishi. Maadhimisho haya yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kisiasa na wa Vyama vya Wafanyakazi, yakiwa yamepambwa na maandamano ya amani, burudani kutoka kwa vikundi vya sanaa, na maonyesho ya shughuli za wafanyakazi kutoka Sekta mbalimbali.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa