• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

"Lindeni wanafunzi wa kike wasipate mimba" Mkoa wa Songwe

Imewekwa: May 12th, 2020


Wakati Dunia  nzima ipo kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 wakazi wa Mkoa wa Songwe wametakiwa kuwalinda wanafunzi wa kike ili kuwaepusha dhidi ya mimba.

Wito huo ulitolewa na Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Songwe Mwl.Juma Kaponda anayesimamia Masuala ya Elimu alipokuwa akizungumza na umma kupitia Redio ya Kijamii ya Ileje Fm 105.3

Kaponda aliwataka Wanasongwe kuchukua hatua za ulinzi kwa wanafunzi wa kike ambao kwa sasa wapo majumbani ambako sheria za shule haziwabani .

Alisema kuwa mkoa wa Songwe unalo tatizo la mimba kwa wanafunzi hivyo ni hatari zaidi kipindi hiki kuingia katika tatizo hilo iwapo wadau hawatashikamana.

“Ndugu wananchi ikumbukwe kuwa huko uraiani kuna vijan wa Vyuo Vikuu,sekondari na vyuo vya Kati hali inayoweza kupelekea mahusiano mabovu yenye kusababisha mimba kutokea,kwani baada ya corona maishaya uanafunzi yataendelea kama kawaida” aliongeza kiongozi huyo.

Pamaja na mambo mengine Kaponda alizungumzia mikakati ya mkoa huo katika kuwasaidia wanafunzi kupata elimu kwa njia ya masafa ikiwemo njia ya mtandao kwa wanafanzi wa Kidato cha Sita.

Aidha,kupitia simu za wasikilizaji aliweza kupokea maswali,ushauri na pongeza kwa kutumia njia ya redio kuongea na wananchi wa mkoa huo na mikoa jirani.

karibu miezi miwili imepita tangu kufungwa kwa shule na vyuo hapa nchini ukiwa ni muda mrefu  ukilinganishwa na likizo zingine kukiwa na sintofahamu juu ya hatima ya gonjwa hili hatari..

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa