• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Jeshi lapewa meno kung'ata wanaokwamisha maendeleo wilayani Ileje.

Imewekwa: January 21st, 2018

Na:Daniel Mwambene,Ngulilo-Ileje

Jeshi la Akiba(mgambo) wilayani Ileje mkoa wa Songwe limetakiwa kuwafichua wakwamishaji wa maendeleo ili kuonesha uzalendo kwaTaifa.

Wito huo ulitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ileje ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mhe. Joseph Mkude alipokuwa akifunga mafunzo yaliyochukua zaidi ya miezi mitano kwa jeshi hilo katika Kata ya Ngulilo.

Alisema kuwa vipo vitendo kadha vya kiharifu vinavyofanywa katika jamii na kutoripotiwa kwenye mamlaka zinazohusika.

Mhe. Mkude alibainisha vitendo hivyo visivyokubalika kuwa ni kwa baadhi ya watu wakiwemo watumishi wa umma kunywa pombe muda usiokubalika kisheria,utoaji na upokeaji rushwa pamoja na kuendekeza migogoro ya ardhi ambayo ni mikubwa kwa kata hiyo na wilaya nzima kwa ujumla hususani katika Tarafa ya Bundali ambako ardhi ina thamani kubwa.

"Mnapoyaona haya msikae kimya,kwani madhara yake si kwenu tu bali hata kwa vizazi vijavyo kuweni mfano wa kuyachukia na kuyaripoti bila woga"alisisitiza Mhe.Mkude.

Akitolea mfano wa Miradi ya Maendeleo inayojengwa katika wilaya nzima ya Ileje ni jukumu la jeshi hilo kutoa taarifa kwake na kwa viongozi wengine pale wanapoona dalili za uchakachuaji badala ya kusubiri mambo kuharibika.

Aidha kiongozi huyo alilaani kwa baadhi ya walengwa kushindwa kufikia mwisho wa mafunzo ya mafunzo akisema huo umekuwa ni mzigo wa wilaya na Taifa kwa ujumla kwa kuwa wamekosa stadi muhimu za maisha.

Wahitimu hao wapatao 114 kati ya 293 waliokuwa wameandikishwa waliwaomba viongozi wa Kata ya Ngulilo kutokuwa chanzo cha ukwamishaji wa mipango ya serikali.

Akisoma risala yao kwa Mgeni Rasmi wakati wa kufunga mafunzo hayo Imma Asajenie alisema kuwa kuacha mafunzo kwa vijana waliokuwa wameandikishwa kulichangiwa kwa kiasi fulani na viongozi wa kata hiyo kwa kushindwa kuwachukulia hatua.

Wakati wa mafunzo haya vijana hawa walishiriki katika shughuli za maendeleo kwenye kata yao kwa kulima barabara,kufyatua matofali pamoja na kukusanya mawe kwaajili ya ujenzi wa daraja la kuelekea kijiji cha Shiringa.

Ikumbukwe kuwa kila mwaka mafunzo kama haya hufanyika kwa kata moja ambapo mwaka 2016 yalifanyika katika Kata ya Ibaba,2017 Ngulilo na 2018 yataiangukia kata nyingine.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa