• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Ileje yazindua mradi wa BOOST kwa Shule za Elimu Msingi

Imewekwa: May 16th, 2023

Wasimamizi wa Miradi ya BOOST Wilayani Ileje wametakiwa  kutambua kuwa fedha za mradi huo ni za umma na zinatakiwa kukamilisha malengo ya serikali  na si kwa manufaa ya watu binafsi.

Onyo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo,Mhe.Farida Mgomi alipokuwa akizindua mradi huo katika Kijiji cha Ikumbilo Kata ya Chitete panapojengwa mkondo mpya wa shule ya Msingi Ikumbilo na inayotarajiwa kuwa shule kamili kutokana na mahitaji pamoja na kiasi hicho kikubwa  cha fedha kilichotolewa naserikali.

Mgomi amewataka wasimamizi wa mradi ikiwemo Kamati ya BOOST ya wilaya kuwa na uwazi kwenye miradi hiyo ambapo serikali imetoa jumla ya Tzsh.1,574,1000,000/= kwa wilaya nzima huku mgawanyo wake ukizifikia shule nane ambazo ni Chitete,Ikumbilo,Ilulu,Ibezya,Ibaba,Sange,Mtula na Chembe huku shule mbili za kata hiyo zikipata kila moja Tzsh.347,500,000/=.

Kwa upande wao wananchi wamewataka kuwa walinzi wa kwanza wa mradi huo wakiwa  wakihakikisha hujuma yoyote ya mradi haifanyiki katika maeneo yao,akiwahimiza kuripoti kwa vyombo husika juu ya matukio yoyote yanayoonesha kukwamisha mradi.

Aliongeza kuwa malengo ya serikali hayawezi kukamilika iwapo wananchi hawatatoa ushirikiano kwenye maeneo ya miradi kwa vile wao huona kila kiyu kinachofanyika kila siku na wakijua dhahili kuwa mradi ukiharibika wanaoumia ni wao.

Herman Njeje Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo amewapongeza wakazi wa kijiji hicho kwa moyo wa uzalendo waliounesha ikiwemo kutoa eneo la shule pamoja na kujitokeza kufanya kazi siku hiyo ya uzinduzi wa mradi.

Aliongeza kuwa,nguvu ya wananchi inatakiwa ithaminiwe na kuthaminishwa ili fedha zinazookolewa zitumike kuongeza miundombinu mingine kwenye shule hizo.

Mhe.Osiwelo Chomo Diwani wa kata hiyo amewasihi wakazi wa kata hiyo kuendelea kutoa ushirikiano pindi wanapohitajika kutoa nguvu zao kwenye miradi hiyo pamoja na miradi mingine ya maendeleo huku akimwomba mwandisi wa ujenzi kuwa karibu na miradi ili kuepusha dosara zinazoweza kuzalisha marekebisho ambayo huongeza gharama za mradi.

Atanasi Ndimbwa mkazi wa eneo hilo ameishukuru serikali kwa kutoa kiasi hicho cha fedha huku akiahidi kuwa mlinzi wa mradi ili watoto wao waweze kufaidi matunda ya mradi.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa