• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

CCM Ileje wapongeza utendaji wa watumishi wa umma kwa kutekeleza Ilani

Imewekwa: May 1st, 2020

Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ileje kimepongeza utendaji kazi unaoneshwa na watendaji wa umma kwa jinsi wanavyosimamia utekelezaji wa miradi mbalimbali pamoja na maagizo ya serikali.

Pongezi hizo zilitolewa hivi karibuni na Katibu wa chama hicho wilayani humo Ndg.Albert  Sitima wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya hiyo kilichofanyika hivi karibuni.

“Nawapongezeni kweli kwa utekelezaji mzuri wa Ilani ya Uchaguzi ambao ndio mkataba wetu na wananchi katika maeneo mbalimbali ya wilaya yetu ambayo itatupunguzia kazi kuwaelezea wananchi nini tumefanya kwa miaka mitano’’ alisema kiongozi huyo.

Katibu huyo aliongezakuwa CCM imekuwa ikiwafuatilia namna watumishi wa umma wavyosimamia  miradi ya maendeleo ambayo kukamilika kwake kunawapunguzia kero wananchi ambao Mhe.Rais Magufuli amekuwa akiaagiza wahudumiwe ipasavyo.

Aliongeza kuwa Kamati ya Usalama imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha maagizo na miongozo ya serikali inafuata ili kukwendana na kasi ya Awamu ya Tano.

Pongezi hizo zinakwenda sanjari na zile zinazotolewa na viongozi wengine akiwemo Waziri wa TAMISEMI Mhe.Seleman Jafo aliyepongeza ubora wa majengo ya Hospitali ya Wilaya hiyo wakati wa ziara yake siku miezi michache iliyopita huku Mkuu wa Mkoa huyo Brigedia Jenerali Mstaafu Nicodemas Mwangela akizitaka Halmashauri zingine kuiga viwango vya ujenzi tika Ileje.

 Akizungumza katika kikao hicho DC wa Wilaya hiyo Ndg.Joseph Mkude aliwataka Wahe.Madiwani kuendelea kuchapa kazi badala ya kuanza kuingiwa na hofu ya uchaguzi akiongeza kuwa matendo mazuri kwa kipindi chao yatawabeba kwenye Uchaguzi

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • MKURUGENZI ILEJE AONGOZA HAFLA YA KUWAAGA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 31, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAPONGEZA WATENDAJI NA MAAFISA LISHE KWA KUPAMBANA NA UDUMAVU

    May 27, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AWAKARIBISHA MADAKTARI BINGWA

    May 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa