• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

CCM ILEJE WAKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI

Imewekwa: July 16th, 2023

Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ileje kimekagua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kupokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi 2020/2025 huku kikiwataka watendaji wa serikali kutimiza wajibu wao.

Kamati Kuu ya Siasa Wilaya ikiongozwa na Mwenyekiti wake Ndg.Patrick Ghambi iliweza kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika kata za Isongole,Bupigu,Kafule,Sange na Lubanda ikifurahishwa na baadhi ya miradi kwa jinsi ilivyotekelezwa ukiwemo wa ujenzi wa nyumba ya walimu katika Shule ya Msingi Ipoka iliyopo kata ya Kafule.

Hata hivyo imewataka watalaam wa halmashauri ya wilaya,mashirika ya umma,pamoja na taasisi za serikali kutekeleza mipango kazi yao kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma sawa na Ilani ya Uchaguzi inavyoelekeza.

Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe.Farida Mgomi akisoma taarifa ya utekelezaji kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya katika Ukumbi wa Chama uliopo Itumba (maarufu kama Kimwaga) alifafanua mambo kadhaa yaliyofanywa na serikali huku akipongeza umoja na mshikamano uliopo katika wilaya kati ya Halmashauri ya Wilaya,Serikali Kuu,taasisi,mashirika ya umma pamoja na Chama cha Mapinduzi.

Aliongeza kuwa,juhudi za Mhe.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kulijenga Taifa zimeonesha matunda na matokea makubwa katika hapo wilayani,huku akiahidi akiahidi kusimamia kwa dhati miradi yote ili kufikia malengo ya serikali katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi.

Watalaam kwa upande wao hususani kwa miradi ya Tarafa ya Bundali walieleza hali ya hewa ya mvua nyingi inayonesha kwa muda mrefu kuchelewesha kukamilika kwa baadhi ya miradi ikiwemo ya ujenzi wa miundombinu ya elimu,maji,barabara,umeme pamoja na afya.

Kumekuwa na mabadiliko makubwa ya kimaendeleo katika sekta mbalimbali wilayani Ileje ambapo tunashuhudia kwa muda mfupi ujenzi wa Vituo vya Afya vya Lubanda,Itale,Ndola ujenzi wa shule mpya msingi Lusungo,Igwiliza,Ipapa pamoja na sekondari za Shinji na Sekondari ya Wasichana ya Ileje iliopo kata ya Chitete,hii ni miradi michache kati ya mingi inayoendelea katika kila kata.    

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • KAMATI YA FUM YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI ILEJE

    May 19, 2025
  • Katika tarafa ya Bulambya, kamati hiyo ilikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya wilaya – Itumba, ambapo halmashauri imepokea shilingi milioni 350 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ambao umefikia asilimia 80 ya ut

    May 19, 2025
  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa