• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

Imewekwa: April 29th, 2025

Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Ileje, Bi. Nuru Waziri Kindamba, amefungua rasmi semina ya Mafunzo kwa Waandishi Wasaidizi na waendesha Vifaa vya Bayometriki (BVR) kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, awamu ya pili. Katika hotuba yake ya ufunguzi, Bi. Kindamba aliwasisitiza washiriki hao kuzingatia uadilifu, weledi na kutunza vifaa vya kazi ili kuhakikisha zoezi hilo linafanyika kwa ufanisi na kwa kuzingatia maelekezo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

                                                       

                                                  

Bi. Kindamba alieleza kuwa mafunzo hayo ni muhimu kwa kuwaandaa watendaji hao kutekeleza majukumu yao kwa umahiri, ikiwemo kutumia vifaa vya bayometriki kwa usahihi na kuwahudumia wananchi kwa heshima na ufanisi. Alisisitiza kuwa vifaa vya BVR vimenunuliwa kwa gharama kubwa, hivyo ni wajibu wa kila mmoja kuvihifadhi na kuvitumia kwa uangalifu ili kuepuka hasara kwa serikali.  

         

                                                                        

 

                                                                                                                        

                                                 

Mafunzo haya ni sehemu ya maandalizi ya awamu ya pili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, ambapo waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya BVR wanapewa elimu ya kina kuhusu majukumu yao, matumizi sahihi ya vifaa vya uandikishaji na umuhimu wa kutoa huduma bora kwa wananchi.


Bi. Kindamba alihitimisha kwa kuwataka washiriki wa mafunzo hayo kuwa mabalozi wa uadilifu na weledi katika jamii, kuhakikisha kuwa kila mwananchi mwenye sifa anapata fursa ya kujiandikisha na kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

Matangazo

  • HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA May 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 09, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA ISONGOLE – ISOKO WILAYANI ILEJE

    June 13, 2025
  • Wazazi Watakiwa Kuwalinda Watoto na Kuwezesha Ndoto Zao

    June 13, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Ampongeza Afisa wa Maendeleo kwa Ukusanyaji Bora wa Marejesho ya Mikopo

    June 10, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Songwe Aipongeza Halmashauri ya Ileje kwa Kupata Hati Safi

    June 10, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa