• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
    • Matangazo |
Ileje District Council
Ileje District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ileje

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Core Values
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu Msingi
      • Mipango, Tathimini na Takwimu
      • Elimu Sekondari
      • TASAF
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Fedha
      • Utamaduni na Michezo
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa mazingira
    • Kata
      • Isongole
      • Itumba
      • Bupigu
      • Mbebe
      • Chitete
      • Malangali
      • Ikinga
      • Kafule
      • Kalembo
      • Lubanda
      • Luswisi
      • Ibaba
      • Itale
      • Ndola
      • Ngulilo
      • Mlale
      • Ngulugulu
      • Sange
    • Taasisi za Serikali
    • Mashirika ya Umma
    • Ofisi ya Mkuu Wa Wilaya
    • Ofisi ya Mbunge
    • Vyama vya Siasa
    • Viongozi wa Dini na Mila
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utaliii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fedha
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha
    • Ratiba ya Vikao
    • Kuonana na Mh. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyothibitishwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari za mkoa
    • Habari za kitaifa
    • Habari za kimataifa

“Acheni kuwaibia wakandarasi”,Waziri Kwandika.

Imewekwa: August 17th, 2018

“Acheni kuwaibia wakandarasi”,Waziri Kwandika

Waziri awataka watanzania walio kwenye maeneo ya miradi kuwa waaminifu,asema wizi wa mafuta unaligharimu  taifa letu fedha nyingi.

Tahadhari hiyo,ilitolewa hapo jana na Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Elius Kwandika alipokuwa akizungumza na wananchi kwenye kambi la Kampuni ya Kachina inayojenga barabra ya Mpemba –Momba hadi  Isongole-Ileje kwa kiwango cha lami.

“Kuwaibia wakandarasi hakukwamishi tu kasi ya ujenzi wa miradi kwa wakandarasi bali hutucheleweshea maendeleo na mnapofanya  hivyo mnajiibia ninyi wenyewe”alisema kiongozi huyo.

Alitolea mfano wa huko mkoani Kigoma kuwa mkandarasi aliibiwa zaidi ya lita 1200 za mafuta hali inayopunguza imani ya wakandarasi kwa wafanyakazi wao na watanzania kwa ujumla.

Aliongeza kuwa,malipo yanayotolewa kwa mafuta yaliyoibwa kwenye maeneo ya ujenzi wa miradi gharama  za malipo ya  bili zake hubebwa na serikali ambayo inakuwa imelipa kwenye kazi hewa.

Akitoa taarifa fupi ya hali ya mtandao wa barabara wilayani humo Mkuu wa Wilaya ya Ileje Ndugu Joseph Mkude alimwomba waziri huyo kupiga jicho kwenye barabara inayounganisha Ileje na Mbozi kupitia Vijiji vya Namwangwa na Ilanga ambapo daraja la Mto Isenga kingo zake ziliharibiwa na mvua za masika hapo mwaka jana na kuharibu mawasiliano.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe.Ubatizo Songa alimwomba waziri kuendelea kutupia macho barabara ya kutoka Ileje kwenda Kyela akisema ina umuhimu mkubwa  kiuchumi na kiulinzi kwa kuwa inakwenda sanjali na mpaka wa nchi jirani.

Kwa muda mrefu kilio cha ujenzi wa barabara ya Mpemba –Isongole kwa kiwango cha lami kilikuwa kikiwafikia viongozi wa ngazi mbalimbali ambapo hata Mhe.Rais akiwa Waziri wa Ujenzi miezi michache kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 na serikali yake imekifanyia kazi na kukituliza kwa vitendo.

Wakazi wa Ileje na nchi jirani ya Malawi wana matarajio makubwa juu ya fursa zitakazofunguka mara ujenzi huu utakapokamlika.

Matangazo

  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 1 MEI HADI 7 MEI 2025 April 28, 2025
  • TANGAZO LA KUFANYA USAFI SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR April 25, 2025
  • Tembelea Zote

Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mkoani Songwe

    May 01, 2025
  • Bi. Kindamba: Weledi na Uaminifu ni Nguzo Kuu Katika Uandikishaji

    April 29, 2025
  • DC Farida Mgomi Awaasa Wananchi wa Ileje Kulinda Amani na Kuwakemea Wavunjifu wa Amani

    April 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ILEJE AONGOZA USAFI ISONGOLE, AWASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI 2025

    April 26, 2025
  • Tembelea Zote

Video

DD
Video Zaidi

Tovuti Mashuhuri

  • UTUMISHI WA UMMA
  • OR - TAMISEMI
  • Songwe Region
  • ILEJE DISTRICT COUNCIL FACEBOOK
  • TAUSI PORTAL

Kurasa za Karibu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki Miliki Haki Zote Zimehifadhiwa